Kumbuka hotuba yake ya kwanza wakati Ana lifunguwa Bunge.
Alisema kwamba kazi anayo kwenda kuifanya sio Rahisi kwake Ila Ana Omba Wananchi wamu Ombee Mungu sababu jukumu ni kubwa.
Alijua anacho kwenda kukifanya kwa Nchi Yetu ni jambo litalo weka Maisha yake hatarini.
Wana Siasa Wana jua kabisa...
ile sherehe Yenu ime malizika?
Mbona tuna jua nyie Mna sherehe ya Msiba wa Rais wa Nchi.
Hakuna Chama kikuu cha upinzani Tanzania
Hakuna Ku Bembelezana sababu Miaka Miaka yote Hii tuliyo wapa Fursa hakuna mlicho changia tofauti na Ku ungana na wapigaji tu.
Tuna lengo laku ijenga Nchi ivo...
Ni wazi tu kwamba Mipango na Manunuzi ya Kitu kama ndege lazima kipitishwe na Bunge ndio Democrat way yaku jenga au kununuwa Assets za Serekali
Na ili Bunge lipitishe lazima Serekali ije na Ombi linalo Beba Maelezo yaku tosha kuhusiana na Hilo jambo inayo Taka Bunge likubali
Pia lazima benge...
Una Ongea Upuhuzi mtupu.
Jaribu kutofautisha Nyakati
Huwezi linganisha Nyakati zaku Dai Uhuru na wakati huu waku jenga Nchi.
Tumeishi na Nyerere wakati mrefu bila Mambo Makubwa katika sector za Maendeleo.
Nyerere Ali jikita Kujenga Taifa moja ki Mtazamo na fikra.
Katika nyanja za Maendeleo ni...
Kumbe ume copy huu Ujinga wako
The Obituary I Promised to Write!!!
https://www.dailymaverick.co.za/article/2021-03-22-tanzanias-five-years-of-devastation-under-the-presidency-of-john-pombe-magufuli/
Link hiyo[emoji1546][emoji1546]
Kumbe hujui kama kaitowa kwa news flani ya wazungu wajinga
... Funguwa hii
The Obituary I Promised to Write!!!
https://www.dailymaverick.co.za/article/2021-03-22-tanzanias-five-years-of-devastation-under-the-presidency-of-john-pombe-magufuli/
Hiyo lock down ya Miezi 3 utakuwa una wahudumia Wewe?
Wali kuambia barakoa ndio Ina zuwia korona?
Mbona Nchi Zenye Lock down ndio Zina kiwango kikubwa cha Vifo?
Na barakoa Wana vaa kila siku
Acheni Maujinga ya PhD
Hii ni biashara tu nipo South Afrika hapa
Naona kila kitu
Kuna mikoa kibao imechoka sana hii pesa wana taka kugawa tu majengo yatagarimu Pesa nyingi nusu ina ingia mifukoni mwao au wana andaa ufisadi wa namna nyingine!
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Kubadili wana siasa walio bobea kwa ufisadi na kuwafanya wawe wafanyakazi wa taifa kwa maslai ya Taifa sio kazi ndogo inabidi udikteta utumike kwa 70% bila ivo hawa jamaa hawata nyooka kamwe.
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.