Recent content by Mmkindi

  1. M

    JamiiForums Tanzania GE2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

    Naunga mkono Lowasa kugombea kupitia UKAWA.
  2. M

    JamiiForums Tanzania GE2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

    Lowasa anatosha sana atachukua nchi asubuhi na mapema.
  3. M

    JamiiForums Tanzania GE2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

    Lowasa akigombea UKAWA siku ya uchaguzi hadi ikifika saa sita mchana Magufuli chali, tutashinda asubuhi na mapema.
  4. M

    JamiiForums Tanzania GE2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

    Naunga mkono Lowasa kuhamia CHADEMA, Watanzania wanataka mabadiliko.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Serikali inachekesha sana!

    Uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo wewe daima unajua mwenye uwezo wa mambo ya kisheria ni Tundu Lisu tu, nchi hii sijui inakwenda wapi yani vijana wamekuwa wavivu wa kufikiri kwelikweli.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Lowassa amwaga T - Shirt Musoma mjini

    Siku zote ukisikia mtu anakuambia Lowasa fisadi kwanza usipanic muangalie kwanza hata jinsi yalivyo kaa kaa, alivyo vaa yani utabaini tu kwamba ni hajui chochote hata ukimuambia Richmond ninini hajui uliniuliza neno ufisadi linamaana gani hasa hajui mtu mwenye kusoma na kutafuta taarifa lazima...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Lowassa (4u movement) wasambaa mikoani wakifanya kampeni

    tena mkuu mimi nipo tayari kuwadhamini kwa pesa yangu binafsi bora nchi ipate kiongozi makini kama lowasa tuma ujumbe humu mtanzanian452@gmail.com
  8. M

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Lowassa (4u movement) wasambaa mikoani wakifanya kampeni

    hivi jamani kuna sentensi yoyote lowasa aliwahi kutangaza wazi kwamba atagombea urais? mbona watu matumbo joto sana ama kweli lowasa ni Jembe hivi siku akitangaza hadharani si tutazika wengi? na nilicho baini wengi wanao mhofia ni wale wanao ogopa mchakamcha wa uwajibikaji na maamuzi magumu...
Back
Top Bottom