Recent content by Mmelect

  1. M

    Waziri anayehusika tafadhali fuatilia makala hii ya Mtandaoni inayoichafua Tanzania.

    Samahani kwa kuchelewa kutuma link, makala mpya please search This creative device Traps Mosquitos Without Chemicals.html, halafu soma Trendy Gadgetreviews: Protect yourself from the most deadly animal without using harmful chemicals.
  2. M

    Waziri anayehusika tafadhali fuatilia makala hii ya Mtandaoni inayoichafua Tanzania.

    Am trying to upload it fails. The latest article was published in Jan 12 2019 as an edited version of the first published in 2018. This new version published in Daily Life Tech says STOP Tanzania's Biggest Threat From Infecting You...The article portrays TZ as the country that keeps the...
  3. M

    Kwanini mpangaji ndiye anawajibika kumlipa dalali(fedha ya mwezi mmoja) baada ya kupangishwa na si mpangishaji?

    Utaratibu ni kwamba mwenye nyumba anatakiwa kumlipa dalali kwa kuwa huduma ya Malazi ni ya msingi Katika maswala ya haki za binadamu. Nchi nyingi ndivyo inavyotambulika hivyo na wenye nyumba wameelimika vya kutosha. Hata hapa Dar, kuna sehemu madalali hawaombi hela kwa mtafuta nyumba na wenye...
  4. M

    Baada ya RC Makonda kugawa Mtaa kwa Pengo,Sheikh Mohamed Said asema hakuna padre wala askofu aliyepigania Uhuru wa Tanganyika

    Usikumbushie kile Chuo cha Umma Moro maana Ule Ulikuwa unyang'anyi.
  5. M

    Bundi aingia ndani ya ukumbi wa Bunge leo asubuhi

    Itabidi tuandae kikao ambacho sio rasmi cha wachangiaji humu, nahisi wengi ni comedians, itakuwa burudani ya mwaka.
  6. M

    Bundi aingia ndani ya ukumbi wa Bunge leo asubuhi

    Very interesting, nimecheka hasa. Bahati mbaya sio mtaalam wa hili eneo, ila tuombe huruma ya mungu.
  7. M

    Gaudensia Kabaka aeleza sababu za kuzuia Ujenzi wa Msikiti UDOM na kuhamisha wafanyakazi wa hapo

    Mada gani hizi mnaziruhusu humu. Yaani ni kushusha hadhi ya taaluma ya nchi nzima.
  8. M

    DC Mwanga amtupa mahabasu DED saa 24

    Ya the guy is smart and down to earth sijui wamepishana wapi.
  9. M

    Serikali imesema tahadhari iliyotolewa na Marekani kwa Tanzania ni propaganda.

    Niliishi sana huko, nawafahamu watu wa Aina yako. Sitajibu chochote utakacho post. Bye
  10. M

    Wanawake wa hii mikoa, nawapa hongera sana

    Nimecheka kwa mara ya kwanza. Ila naomba nitofautiane kidogo au nichangie mawazo yangu. Sijui TFDA wametumia factor gani. Hiyo mikoa inayoongoza inawafanyabiashara wengi hasa wajasiliamali inawezekana kabisa walinunua stock kubwaukilinganisha na wengine. Pili weusi wao ni Ule wa Sudan haukubali...
Back
Top Bottom