Hatukanwi ila mambo na matendo yake ni matusi tosha kwa nchi hii.
Watanzania yeye alishawatukana sana lakini wakilalamika anawachapa bakora.
Kupiga na kujeruhi wapinzani kisa wanapinga Sera zake mbovu ni matusi makubwa sana kwa wananchi wa nchi hii.
Anavunja katiba na sheria na nchi kwa...
Kwenye sherehe za kumbukumbu ya kuzaliwa kwa ccm huko Singida tar 5/2/2016 alisema atahakikisha anafuta vyama vya upinzani nchini.
Kwa hali ya kisiasa nchini kwa sasa haiitaji elimu ya chuo kikuu kulibaini hilo kuwa Magufuli ni adui wa mfumo wa vyama vingi nchini.
Ukiangalia hizi chaguzi ndogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.