Recent content by MMATUMBI MWENYE NIA

  1. M

    CCM Arusha kuwafukuza madiwani wake wanne leo

    Haiji kutokea sisiemu ifukuze diwani hata mwenyekiti wa kijiji hawawezi. Hawana ubavu huo
  2. M

    Mwigulu Nchemba ni hazina ya taifa,nimemfahamu,nimeona upako wa uongozi ndani yake

    mmmmmaaaaaaaavvvvvvvvvvvvvvviiiiiiiiiiiiiiiiiiii matupu huyo
  3. M

    CHADEMA wataka rais JK amwombe radhi mhe. Tundu Lissu

    inasikitisha kuona mkuu wa inchi ana mu-attack mtu kitika otuba kwa taifa
  4. M

    Naionya serikali ya mkoa wa Mbeya kuhusu mpango wa kuvunja vibanda

    Ni ukweli kuwa mbeya sasa inavibanda vingi kando kando ya bara bara, hatupaswi kushangaa kwani tumeua viwanda vyote alivoanzisha mwalimu nyerere hivyo vijana wengi hawana ajira, wameeishia kujiajiri wenyewe katika umachinga. Waacheni wafanye biashara zao kwani mmeshindwa kuwapa ajira...
  5. M

    Hongera tido achana na serikali ya analojia! Online kama kawa!

    Tutakaa kimya mpaka lini? Sauti ya umma ni sauti ya mungu sasa tuseme basi inatosha
  6. M

    CHADEMA yazidi kumeguka...!

    Kwahio Shonza unataka kutueleza kuwa Bimkora alikufunza vizuri kiswahili pale MBEYA SEC? manayake hio adithi umeitunga vizuri sana
  7. M

    Neno 'siri' lilivyotumika vibaya kufungia gazeti la mwananchi

    Siri! Siri! Siri! Jamani tumekua tifa la Siri
  8. M

    Mabilioni yaliofichwa uswissi yaongezeka

    FEDHA ZA KUWAHONGA WAPIGAKURA HIZO! 2015. :yuck::fish:
Back
Top Bottom