Nakubaliana na ww kabisa, natoa ruksa kwa mtu yeyote atakayekuwa radhi kununua kiwanja changu kufuata taratibu zote za kisheria.
Kuanzia ngazi ya mjumbe, serikali za mitaa mpaka mwanasheria, nipo okay maana ni mali yangu na nina miliki kihalali kabisa.
Wote mnakaribishwa.
Nadhani utakuwa mgeni kwenye uwanja wa viwanja, vipo viwanja vyenye hati na ambavyo havina, Ndio maana nikaweka mawasiliano yangu na kuwa-brief mapema kabisa.
Kuanzia ngazi ya mjumbe mpaka serikali ya mtaa inavitambua hivi viwanja na umiliki wangu halali. Kama una swali lolote waweza niuliza...
Habari zenu ndugu zangu wa jukwaa hili, ningependa kutumia fursa hii kuwajulisha kuwa nina kiwanja changu ambacho kipo eneo la Madale Mivumoni.
Ukubwa wake ni Hekari Moja, bei yake ni shilingi milioni 25, maelewano yapo, Hakina hati bali kipo eneo la makazi ya watu, hakina tatizo wala...
Habari zenu ndugu zangu wa jukwaa hili, ningependa kutumia fursa hii kuwajulisha kuwa nina kiwanja changu ambacho kipo eneo la Madale Mivumoni.
Ukubwa wake ni Hekari Moja, bei yake ni shilingi milioni 25, maelewano yapo, Hakina hati bali kipo eneo la makazi ya watu, hakina tatizo wala...
Habari za Jumapili wadau wa jukwaa hili la biashara, natumaini wote ni wazima na mnaendelea jukumu la kujenga Taifa.
Kwa fursa hii ningependa kuwataarifu kuwa ninaplot yangu ipatayo Heka Moja na Robo, Naiuza kwa bei poa kwani nahitaji kurudi shule.
Kiwanja hakina hati bali ni Plot, hakina...
Kusema kweli kwa wanaume ambao 2mejaliwa Madushe 2napendwa sana na hawa viumbe, Sio Kama najicfia bali naongea ukweli.
Katika kipindi cha mahusiano yangu,kuna kipindi nilikuwa namsukumia Pipe Mama M1 wa makamo, aiseee yule nilimvuruga akili kbs, akafikia mpk hatua ya kumponda hubby wake kuwa...
Aliyeandika UZI huu ni wazi kabisa ameonyesha kuwa ni Kada Wa C.C.M, Kwanza ningependa utengue kauli yako uliyosema kuwa EL hajawahi kutembelea sehemu zenye changamoto kama ulivyoziorodhesha hapo juu.
Kama utakuwa mfuatiliaji wa mambo bila shaka hutaweza kunibishia kipindi Lowasa akiwa Waziri...
Mambo vipi wanajukwaa la MMU, nimewamiss kwa muda.
Dhumuni la kuandika uzi huu ni kuhitaji ushauri kutoka kwenu, jana wakati nipo na mpenzi wangu, simu yake ilipigwa na namba ngeni, sasa katika kusikiliza maongezi ya upande wa pili alikuwa ni mwanamke mwenzake.
Wakaongea kama dakika 1 hivi...
Simu yangu ni Double Line, line ya Kwanza ambayo ni Voda ndio natumia kwenye internet, Tigo kwa ajili ya mawasiliano ya kawaida
Nimekwenda mpk kwenye Apn unayosema nimekuta imeandikwa Internet,alafu kwenye Name : Vodawap, huku kwengine hakujajazwa,...Nifanyaje maana bado SERVER ERROR inarudi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.