Recent content by mmariii

  1. mmariii

    JamiiForums Tanzania Watu wamevurugwa aisee, ona vituko hiv barabarani

    Wenye Vitz zao nao wanasumbua barabarani, eti nao hupeleka vigari vyao Car wash🤣🤣🤣
  2. mmariii

    JamiiForums Tanzania Watu wamevurugwa aisee, ona vituko hiv barabarani

    Askari akikusimamisha kama gari ni ya abiria yeye huongeaga na dereva/kondakta mbali na abiriaa🤣🤣🤣
  3. mmariii

    JamiiForums Tanzania Vituko vya bongo movie

    Hatujawahi hata kuvunja glass kwenye movie🤣🤣🤣
  4. mmariii

    JamiiForums Tanzania Vituko vya bongo movie

    Bongo hatuigizagi gari imewaka moto au nyumba imelipuliwa au pikipiki imewaka moto🤣🤣🤣
  5. mmariii

    JamiiForums Tanzania Vituko vya bongo movie

    Mkono mkubwa kuliko bastola aloshikaaa🤣🤣🤣 Vile vya watoto
  6. mmariii

    JamiiForums Tanzania Kama simu yako ni original chora huu mstari

    ———————/\———————
  7. mmariii

    JamiiForums Tanzania Tucheke pamojaaa

    Wanawake wa kinyakyusa hawajui kupika samaki wa mchuzi unakuta anaweka mchuzi mwingi mpaka samaki anafufuka na kuanza kula vitunguu kwenye chungu .......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  8. mmariii

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya network

    My whatever
  9. mmariii

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya network

    Kasheshe kweli kweliii....[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
  10. mmariii

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya network

    PALE NETWORK INAPOSUMBUA Alaf Dem Una Mpenda Kupita Maelez Anakwambia Ivi.. GIRL: do u love me BOY: sana tu!(messege failed) GIRL:sas c unijbu jaman Boy:nakupendaa(messege failed) GIRL:mbn kmya au kiburii BOY:tatzo mtandao my ndo mana txt azifiki(messege failed) GIRL:do you lov me ...
  11. mmariii

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa Marudio wa Ubunge majimbo ya Kinondoni na Siha, Udiwani Kata 8: CCM yanyakua majimbo yote!

    Duuh hiyo variation aiseee sijui tusemejee..!![emoji1552]‍♂️[emoji1552]‍♂️
  12. mmariii

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa Marudio wa Ubunge majimbo ya Kinondoni na Siha, Udiwani Kata 8: CCM yanyakua majimbo yote!

    Chama cha mapinduzi kimeshinda kwa kishindo kwa asilimia 80% katika Jimbo la Siha, Valerian Juwal amemtangaza Mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dr. Godwin Molel kuwa mshindi katika uchaguzi wa Jimbo hilo uliofanyika February 17, 2018. Dr. Molel amepata kura 25611 akifuatiwa na Mgombea wa...
  13. mmariii

    JamiiForums Tanzania Uongozi wa CHADEMA una ukakasi!!

    Hilo nalo ni tatizo, ndo yale ya kuchochea kuni mbichi moto uwakee...[emoji24][emoji24]
  14. mmariii

    JamiiForums Tanzania Uongozi wa CHADEMA una ukakasi!!

    Matukio yote yaliyotokea we huyaoni, baadhi yake yanaweza tia hata doa katika nchi yetu yenye utajiri wa hali ya juu wa AMANI!!
  15. mmariii

    JamiiForums Tanzania Uongozi wa CHADEMA una ukakasi!!

    Kweli unauhakika kuwa watu wapo huru? Su unamaanisha kuhama ndio tafsiri ya neno huru?
Back
Top Bottom