Uongozi wa CHADEMA una ukakasi!!

Uongozi wa CHADEMA una ukakasi!!

mmariii

Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
71
Reaction score
57
Hebu nipe mtizamo wako juu ya matukio yanayoendelea kutokea katika chama cha demokrasia na maendeleo!
Unaona nini?
1. Kuhama hama kwa madiwani na hata wabunge!!
2. Kuhama kwa viongozi wa juu wa chama
3. Kufanya jambo bila kuomba ushauri mfano; mgombea uraisi wa chama kwenda Ikulu na kuleta sintofahamu kwa uongozi wa chama na wananchi ka ujumlaaa
4. ....?
Unaona nini kwenye demokrasia ya Nchi yetu, inakuaa au inakufaa? Nini suluisho la haya? Upinzani umekosea wapi! Nini kifanyikee... Nani wa kulaumiwa?
Tutegemee nini mbeleni juu ya siasa za kwetu? Je wanaohama vyama ni kweli kua wanavutiwa na utendaji wa vyama wanavyohamia au ni USAJILI kama inavyosemwa? Kama kijana, mwananchi au mzalendo wa nchi hii hebu tupia mawazo yako hapaaa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
 
Hebu nipe mtizamo wako juu ya matukio yanayoendelea kutokea katika chama cha demokrasia na maendeleo!
Unaona nini?
1. Kuhama hama kwa madiwani na hata wabunge!!
2. Kuhama kwa viongozi wa juu wa chama
3. Kufanya jambo bila kuomba ushauri mfano; mgombea uraisi wa chama kwenda Ikulu na kuleta sintofahamu kwa uongozi wa chama na wananchi ka ujumlaaa
4. ....?
Unaona nini kwenye demokrasia ya Nchi yetu, inakuaa au inakufaa? Nini suluisho la haya? Upinzani umekosea wapi! Nini kifanyikee... Nani wa kulaumiwa?
Tutegemee nini mbeleni juu ya siasa za kwetu? Je wanaohama vyama ni kweli kua wanavutiwa na utendaji wa vyama wanavyohamia au ni USAJILI kama inavyosemwa? Kama kijana, mwananchi au mzalendo wa nchi hii hebu tupia mawazo yako hapaaa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Demokrasia inakua watu wapo huru kuhama na kuhamia chama kingine!!.. thats what we call progress!
 
Chanzo ni hiki kitendo cha mmoja wetu chungu kuiita tamu ndio maana wenye uelewa mzur hawakubaliani na hilo.any way ni uamuzi wa mtu mwenyewe democracy ndio kukua kwake huko
 
Uhuru wa kutoa maoni,kupenda,kuamini,kupingana kwa hoja haupo. Demokrasia ni kukubali kutofauriana pasipo kugombana na kuraruana.
 
Demokrasia inakua watu wapo huru kuhama na kuhamia chama kingine!!.. thats what we call progress!

Kweli unauhakika kuwa watu wapo huru? Su unamaanisha kuhama ndio tafsiri ya neno huru?
 
Matukio yote yaliyotokea we huyaoni, baadhi yake yanaweza tia hata doa katika nchi yetu yenye utajiri wa hali ya juu wa AMANI!!
 
Chanzo ni hiki kitendo cha mmoja wetu chungu kuiita tamu ndio maana wenye uelewa mzur hawakubaliani na hilo.any way ni uamuzi wa mtu mwenyewe democracy ndio kukua kwake huko

Hilo nalo ni tatizo, ndo yale ya kuchochea kuni mbichi moto uwakee...[emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom