Recent content by mmakondehuru

  1. mmakondehuru

    Waajiriwa wenzangu kuweni makini kulinda salary slip yako isichafuke lasivyo utakiona Cha moto kama mimi

    Huko nmb na hizo zinajiita bank ndo balaa, nilishakopa million 9 narudisha mil 21
  2. mmakondehuru

    Nawezaje kumsahau niliyempenda sana?

    Sikushauri uoe mwanamke alibadilisha dini kisa ndoa ,kuna mwana kitaa alitaka kujinyonga.
  3. mmakondehuru

    Jirani yangu anatoka nje akiwa kavaa boksa tu (nguo ya ndani )

    Angalia familia yako mzee, hapo mjini wapo mpaka wanaume wanajiuza
  4. mmakondehuru

    Wanaume tuliooa, nini tufanye maana hii kasi ya usaliti inatia shaka?

    Halafu unakuta mpunbavu mmoja anaoa wanawake zaidi ya mmoja ,tutakuchapia tu
  5. mmakondehuru

    Nina fine ya gari tangu mwaka Jana 2018 sijailipa

    Ahsante Mkuu nimefanikiwa barikiwa sana
  6. mmakondehuru

    Nina fine ya gari tangu mwaka Jana 2018 sijailipa

    Habar wanajamii, Nina fine ya gar tangu mwaka Jana 2018 sijailipa , nawezaje kujua bili yangu kwa kutumia mitandao ya Simu za mkononi?
  7. mmakondehuru

    Natafuta tairi za magari kwa bei nafuu

    Habar wakuu , Naomba msaada wapi nitapata tyre za gari kwa bei nafuu na yenye ubora
  8. mmakondehuru

    Tanzania yakumbwa na uhaba wa wanaume zaidi ya milioni moja

    Eti rombo!!??? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. mmakondehuru

    Agizo la Waziri Mkuu: Wafanyabiashara watatu wakamatwa kwa kuficha mafuta ya kula mjini Songea

    Mafuta ya kula nayo yanamtoa jasho pm? Kweli serikali ina safari ndefu
Back
Top Bottom