Kama mtu hafahamu matumizi ya meno ya tembo ni bora anyamaze kuliko kumpa muuliza swali majibu yasiyofaa na kukatisha tamaa, kwani naamini ni watu wengi wanahitaji majibu sahihi ya swali hilo. Mwenye majibu sahihi alete wana jamvi wafaidike!!
Rudi kwa daktari aliekushauri kutumia dawa zile za awali, mueleze shida yako, kama tatizo litaendelea, tafuta daktari mwingine maana wanazidiana ujuzi na uzoefu.
Hao ni wadudu fulani ambao hukaa vikundi vidogovidogo juu miti mbalimbali, fanya uchunguzi wa kina utagundua hilo, hakuna maajabu yoyote hapo. Kwa sisi tuliokulia vijijini wadudu hao wanaishi hata kwenye miti ya mihogo wakati wa jua kali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.