Recent content by MLUGO

  1. M

    Kikwete's Regime Exposed: Activists report to US Congressional Committees... For Your Eyes Only

    Katika Upekuzi nimelipata tamko hili nikaona nililete kwa Wana JF WATETEZI WA HAKI ZA BINADAMU WANAMTAKA RAIS JAKAYA KIKWETE KULIFUNGULIA GAZETI LA MWANAHALISI, NDUGU waandishi wa habari, Kwa mara nyingine tena, leo hii MISA - TAN, tukiwa pamoja na wanamtandao wa watetezi wa...
  2. M

    M/kiti wa ccm-mkoa wa mbeya anawatumia masalia ya chadema

    Karibuni sana kwenye Chama cha Mapinduzi, vijana mliofukuzwa CHADEMA kwa kuwa kazi tuliyowatuma mmeifanya kwa ujasiri, Mbeya sasa ni ya CCM tupu. Sugu ajiandae kung'oka. Pigeni kazi, hatutasahau yale tuliyowaahidi, lakini pia wana Mbeya wanapaswa kuwaunga mkono vijana wao waliofukuzwa kwa sababu...
  3. M

    M/kiti wa ccm-mkoa wa mbeya anawatumia masalia ya chadema

    Waziri mwingine aihujumu CHADEMA/siri za CCM ZAVUJA. Hilo sio suala geni soma hii BAADA ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wassira kutajwa kuwa nyuma...
  4. M

    Kuna mapungufu ya kisheria kwa namna BAVICHA walivyoshushulikia suala la akina Shonza

    Iliundwa, yeye alikuwa kwenye Kikao Meza Kuu na ilikuwa na wajumbe wafuatao. Josephat Isango-SINGIDA, Zainab Bakar-Zanzibar, Renatus Nzemo -SHINYANGA, Hawa Mwaifunge-KINONDONI, LAURENT Mangweshi-RUKWA, na John Mallya toka Sekretarieti. Lakini alipoitwa alijibu kwa barua, tena kwa jeuri na...
  5. M

    Alex Msama atimua Mhariri mtendaji (Dira) fisadi

    Hizo habari zaweza kuwa za kweli au si za kweli, ila Msama Mwenyewe naye fisadi hajawalipa wafanyakazi wake mishahara wanamdai na sasa anahaha kujinasua na waandishi hao
  6. M

    Ulimboka, Mwangosi wamponza Kikwete UN

    Unayekuja hapa kushambulia wanaharakati na Wanasiasa, hebu jiulize, Waandishi wa habari wanalipwa na nani kwa kuandika suala la Mwangosi, au Dr. Ulimboka? Unadhanani wanalipwa na nani kuandika wananchi waliouawa kikatili kwa sababu zisizojulikana? Unadhani Waandishi wa habari wanalipwa nini...
  7. M

    Msama/dira mabadiliko yaanzie kwako

    Hongera sana, tumeona jinsi ulivyomshambulia mmiliki mwenzio wa gazeti kuwa anadaiwa mishahara na wafanyakazi wake, Mbona wewe haujatulipa tangu Mwaka jana, tunakuandikia habari, makala, na michoro haulipi? Unatumia pesa kuhonga wabunge eti unawapa pesa za mafuta, au kusaidia vituo vya watoto...
  8. M

    UPDATE: CHADEMA yanasa wasaliti... Shibuda adaiwa kuwafadhili baadhi, akalia kuti kavu!

    Kigugumizi; Nimeshindwa kujua, Maswali yameongezeka. Pamoja na kuwa kikao kilifanyika Mbezi Garden mbali kabisa, na kilimalizika usiku sana, Dereva wa Zitto alitokea wapi kuja kuwachukua Mchange na Mwampamba? Na kwanini amewachukua Mwampamba na Mchange tu, akawaacha wengine walioitwa kuhojiwa...
  9. M

    TAARIFA ya kuvuliwa uanachama CHADEMA kwa Juliana Shonza(M/Kiti), Mtela Mwampamba na Habibu Mchange

    Drogba ni John Shibuda, sio Zitto, Shibuda ndio ametajwa kugharimia shughuli zote za kutoa matamko zilizofanywa Dar, Mwanza na Tanga. Kila tamko kijana alikuwa analipwa laki 3, bila kuhesabu usafiri na Malazi. Ulikuwa ni Mradi mzuri kwa vijana wachache kunufaika, ila sasa wamemsaliti kusema...
  10. M

    TAARIFA ya kuvuliwa uanachama CHADEMA kwa Juliana Shonza(M/Kiti), Mtela Mwampamba na Habibu Mchange

    Mwampamba Umezusha haya, ulitolewa nje ya Ukumbi wa Mkutano baada ya kukataa kuhojiwa na Kamati uliyosema humtambui Mwenyekiti wake, Katiba ya Chama na Mwongozo wa mabaraza zipo wazi kuelezea mamlaka ya baraza kwa ngazi husika kuwa na uwezo wa kuwafukuza wanachama wao katika baraza. Walinzi...
  11. M

    Ushindi wa Lema, usigeuzwe ajenda ya CCM

    Ccm tumezoea sana kudandia, soma hii uone jinsi tunavyoweza kudandia vya wengine-attachmen -------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------- USHINDI WA LEMA, USIGEUZWE AJENDA YA CCM . NIMESHANGAZWA na wema wa Chama Cha...
Back
Top Bottom