Inatakiwa mtangaze atakayetoa taarifa mapema na zenye uhakika atapewa zawadi hela dawa ya ubaya ni hela Wao wanasaliti kwa ajili ya fedha toa hela pata faida
Safi sana Wewe mtu miss acha sisi tuvae suti nyie vaeni tisheti za mitumba na magari msiende nayo maofisini mnatoa wapi hela ya mafuta kama mshahara.mnadai hauwatoshi
Huyu mleta maada aliripoti kuwa shida yake ni nyumba halafu ndicho chanzo cha majungu sasa anataka aonewe huruma ndio kaamua na kumwaga mboga kwa lugha rahisi ni majungu hamna kitu hapo
Huyo atakuwa ameingizwa mkenge magari ya SA huwa yanauzwa na wenyewe na wanaenda dai bima eti wameibiwa wanapiga hela Mara mbili bima na sokoni hii ni deal
Kumiliki silaha ni uhujumu uchumi? Au kuna kosa la dhiada huenda alikuwa ana makosa mengine alikuwa akifanyiwa upelelezi akiwa nje au alikkuwa nje kwa masharti
Msomi Wa chuo kikuu au ndio mwenyekiti Wa kamati za CUF hajuwi nani Mwenye mamlaka ya kumfukuza Diwani ndio anaegemea kuwa Mkurugenzi wakati Mkurugenzi kapewa barua I kimfahamisha kuwa madiwani wake wametumbiliwa mvumilieni J mtatiro
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.