Recent content by Mlozimimi

  1. M

    Hizi picha miaka 60 baada ya uhuru, ni kielelezo tulikosea kutaka kujitawala na tulitakiwa tuendelee kutawaliwa

    Wazungu waliitawala afrika kwa miaka 300-400 kina Nyerere walikabiziwa nchi ikiwa na Hali gan kulikua na miundombinu yyte !??!!! Leo hii Ccm Ina miaka 60 tu Kuna barabara Kila mahari.. internet mpka kwe2 kijjni Huku inayokueezexha hata ww kuitukana Kuna xhule Kila mahari na imekudomesha ww mpk...
  2. M

    Kuanzia Julai 1, 2021 rasmi CHADEMA wanarejea kwenye ukorofi

    Ccm imeiweka nchi kwenye uchumi WA kati maendeleo uliyonayo mpaka elimu yako umesomeshwa na serikali ya Ccm Ebu 2wape ushirikiani viongozi we2 2ache chokochoko na kutumiwa kisiasa.... Waafrika 2tulie ili tutawalike....
  3. M

    Tanzania yaanza kumulikwa vibaya na Mataifa Wafadhili

    Tz hauitaji wafadhiri waache tu
  4. M

    Tanzania yaanza kumulikwa vibaya na Mataifa Wafadhili

    Mwacheni mama apige kazi bana chadema hata hawajui wanataka nn
  5. M

    Rais Samia haupigi mwingi tena, kuna dalili za kutosha kuwa Uchumi utamuelemea

    Hoja ni kwamba wanawekeza kina Nani kitu kingine mmeruhusu wageni kumiliki ardhi yenu,,,....msipoangalia myajikuta WATUMWA kwenye ardhi yenu na ya Babu zenu kwa jina la AJIRA.... Babu zenu walijitoa kupigana uhuru wenu Leo hii mko tyr kupoteza mkiwaita wazalendo madikteta...
  6. M

    TANZIA Patrick Mfugale wa TANROADS afariki dunia Jijini Dodoma

    Wee jamaa akili yako haiko xaw na unaropoka bila evidence yyte
  7. M

    Acha matokeo yaongee inahitaji jasho, machozi na damu na kujitoa mhanga kuleta matokeo na si vinginevyo

    Theory hizo zimegharimu maisha ya watu wengi nikukumbushe tu gallileo gallilei
  8. M

    Robert Amsterdam: Tunatarajia kufungua kesi ICC kuhusu Tanzania hivi karibuni

    Huu ni utumwa mkubwa xana wa kifikra ukweli upo wazi kwenu lakini mnaendelea kujificha,,,ivi mnafikiri wazungu ni ndugu zenu au shangaz zenu waje kuwajengea nchi yenu huku tz,,,kwa uelewa wangu wanaeza kuja kuwalagai vijana washike siraha kuua ndugu zao basi,,,,africa hatuna kiwanda Cha siraha...
  9. M

    Siri ya Marekani kuingilia Uchaguzi mkuu wa Tanzania

    Eti waheshimu Katiba ya nchi,,,kwani hiyo Katiba ililetwa na Mungu...imetungwa na wanadamu Kama sisi ko kwenye inshu za kizalendo hatuna haja ya kuheshimu Tena Katiba...ni kuivunja na kuiedit kwa masrahi ya taifa,,,,
  10. M

    Siri ya Marekani kuingilia Uchaguzi mkuu wa Tanzania

    Mkuu usikariri kwmba ha2wez kuwafikia wao 2naweza xana ni inxhu ya mda tu kumbuka uchina na korea walianza harakati za kuxaka maendeleo miaka ya 60 na wametisha dunia kiuchumi na kijeshi kwa xaxa.....ni suala la kuamka na kijifunza kitu kwa wachina na sio wamarekani...
  11. M

    Askofu Mwamakula: Tundu Lissu aomba hifadhi Ubalozi wa Ujerumani baada ya vitisho vya uhai wake

    Mkuu Lissu kwa sasa ni raia Kama raia wengine anapoona anatishiwa Kuna mamlaka zipo,,,,aende police aripoti na sio ubalozini ....
  12. M

    Hii kauli katika hotuba inamaanisha nini mliomsikikiza Rais Magufuli?

    Kwan aliua nani kwenye familia yenu au nani alitekwa hapo mtaani kwenu...
  13. M

    Uchaguzi Marekani: Mamia waandamana kutaka kila kura kuhesabiwa

    Yaani wanakaa kutu lecture sisi kuhusu democracy na wakati wao hawakomaa kidemokrasia na ndio maana tume inaiba kura kumpitisha Joe Budden huko ni kutokukomaa kidemokrasia...
Back
Top Bottom