Rais Magufuli alitembelewa kijijini kwake Chato na rafiki yake kipenzi Raila Odinga kwa takribani siku tatu na leo Waziri Mkuu huyo wa zamani wa Kenya ameondoka kurejea Kenya.
Is Magufuli the man Nyerere sought?
[/SIZE]
By Mwassa Jingi
The year 1995 was of great social changes for Tanzania. The first multiparty elections were held in that year after three decades of single party system. Within that period of time, the country passed through different stages of social...
Leo Jumamosi, Rais Dr. Magufuli akutana na makatibu wakuu, manaibu makatibu wakuu na watendaji wakuu wa serikali leo Ikulu.
Huu ni Mkutano Maalum.
=============================
Updates;
Picha na Ikulu
Atembea kwa miguu kutoka Ikulu, avamia Wizara ya fedha, Wafanyakazi washangaa. Akagua ofisi chumba kwa chumba.
Siku ya Kwanza baada ya kuapishwa, Rais Dk. Magufuli amefanya ziara ya kushtukiza wizarani na kukagua ofisi kwa ofisi, kakuta Maofisa wengi wa Serikali hawapo kazini.
KUTOKA MAKTABA: DKT.JOHN J.P MAGUFULI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM MWAKA 1985/1986
Kutoka Kushoto: Dkt.Abel Minani, Dkt.John P.J Magufuli na Dkt.John Kyaruzi, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam muhula wa mwaka 1985/1986.
2005: MMOJA WA WAASISI WA TAIFA MZEE MUSTAPHA SONGAMBELE ALIMTABILIA MAGUFULI
Mwasisi wa Tanu na CCM, Mustafa Songambele mwaka 2005 Mjini Songea aliwahi kumtabilia makubwa Dkt.Magufuli, wakati huo Magufulia alikuwa Mjini Songea kumpigia kampeni Dkt.Nchimbi.
Mzee Songambele alisema laiti...
Rais Wastaafu wa awamu ya Pili na Tatu Mheshimiwa Ali Mwinyi na Mh.Benjamin William Mkapa walipofungua na kufunga mkutano wa Wadau wa Sekta ya ujenzi nchini uliondaliwa na Bodi ya Wakandarasi nchini CRB ikishirikiana na Bodi ya Wahandisi ERB pamoja na Bodi ya AQRB.
Unachosema kinaweza kuwa na ukweli kama DSM ingekuwa imepangwa kikamilifu " Transport and Land use" sasa Dsm ya leo unaanzia wapi kupata eneo la kutosha kuweka pedestrian path? unachokisema kinawezekana kabisa mji ukipangwa kitaalam sisi tumeshindwa kiongozi, sasa tafuta mtu makini wa kuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.