Recent content by Mlombo

  1. M

    Mbowe: Jumla ya sh 204M za matibabu ya Lissu zimechangwa, aomba michango zaidi, aishutumu Serikali kuhusika na shambulio

    MWENYEKITI WA CHADEMA FREEMAN MBOWE AMSHUKURU MANGE KIMAMBI | MWANAZUONI PATA HABARI KAMILI
  2. M

    Mbowe: Jumla ya sh 204M za matibabu ya Lissu zimechangwa, aomba michango zaidi, aishutumu Serikali kuhusika na shambulio

    MWENYEKITI WA CHADEMA FREEMAN MBOWE AMSHUKURU MANGE KIMAMBI | MWANAZUONI PATA HABARI KAMILI
  3. M

    Kinga Muhimu ya Kushambulia HIV yapatakina ikiwa na nguvu ya 99%

    ni aibu sana kwa nembo uliyoweka hapo na ukashindwa kufahamu vitu vidogo kama hivyo basi ngoja nikuelekeze kidogo ili usiwe unaabisha chama chako kwa uwezo ambao unao. Ebu pata haya maarifa kidogo kuhusu Source halafu niambie kwa nini Bbc Isiwe source na nikaamua kushare na wewe. kabla ujasoma...
  4. M

    Kinga Muhimu ya Kushambulia HIV yapatakina ikiwa na nguvu ya 99%

    bbc ni miongoni mwa vyanzo vya taarifa na sio tatizo kuchukua habari kutoka kwenye vyanzo vingine ndio maana mwisho wa hiyo taarifa unaoana kuna bold yenye maneno bbc.
  5. M

    Kinga Muhimu ya Kushambulia HIV yapatakina ikiwa na nguvu ya 99%

    Wanasayansi wamekuwa wakitengeneza chembe chembe za kinga ya mwili zinazoweza kushambulia asilimia 99% ya virusi vya HIV vinavyosababisha ukimwi na hivyo kuzuwia maambukizi kuendelea. Chembe chembe hiyo ya kinga imetengenezwa kwa ajili ya kushambulia sehemu tatu muhimu za virusi na hivyo...
  6. M

    Zitto Kabwe: Uhuru Wangu wa Maoni Ulilenga Kulinda Uhuru, Haki, Hadhi na Madaraka ya Bunge

    Zitto Kabwe afanya kile ambacho wananchi na wanasiasa walikuwa wanasubiri. amesema nini habari kamili hii hapa HUU NDIO UTETEZI WA ZITTO KABWE MBELE YA KAMATI YA BUNGE YA HAKI, MAADILI NA MADARAKA YA BUNGE | MWANAZUONI
  7. M

    Nyalandu azidi kumpigania Lissu, kuangalia uwezekano wa kupata rufaa ya matibabu Marekani

    Tangu limetokea Tukio la Mbunge wa Singida Mashariki kushambuliwa na watu wasiojulikana kumekuwa na jitihada mbalimbali kunusuru maisha yake. Utaratibu wa Kumpeleka Marekani unafanywa na mbunge..... soma habari kamilNYALANDU AFANYA MPANGO WA KUMPELEKA TUNDU LISSU MAREKANI KWA MATIBABU ZAIDI...
  8. M

    Nyalandu azidi kumpigania Lissu, kuangalia uwezekano wa kupata rufaa ya matibabu Marekani

    Tangu limetokea Tukio la Mbunge wa Singida Mashariki kushambuliwa na watu wasiojulikana kumekuwa na jitihada mbalimbali kunusuru maisha yake. Utaratibu wa Kumpeleka Marekani unafanywa na mbunge..... soma habari kamili NYALANDU AFANYA MPANGO WA KUMPELEKA TUNDU LISSU MAREKANI KWA MATIBABU ZAIDI...
  9. M

    Lema & Msigwa waliamsha Dude Nairobi wakizungumzia hali ya Lissu na siasa za Tanzania

    Mbunge wa Arusha Mjini na Mbunge wa Iringa Mjini wamezungumzia hali ya kisiasa nchini Tanzania Pamoja na Hali ya Lissu wakati wakifanya mahojiano na KTN. Tazama walichosema kupitia hapa KTN WAFANYA MAHOJIANO NA LEMA NA MSIGWA KUHUSU HALI YA LISSU | MWANAZUONI
  10. M

    Mahojiano ya Msigwa na Lema KTN: Serikali iongeze msisitizo kwenye somo la Kiingereza

    KTN yafanya Mahojiano na Wabunge wa Chadema Mhe: Lema na Msigwa wamesema mengi kwenye mahojiano hayo pamoja na kuzungumzia hali ya Lissu. habari zaidi ipate kuptia hapa
  11. M

    Wananchi wa Kawe walia na upinzani

    Ni kweli mada nyongine ni upumbavu basi kwa kuwa na wewe ni mlumbavu pia ndio maana umechangia. Pia rejea mada kuweka hizo picha sio maana ndio tatizo kubwa la wana kawe kama umesoma vizuri nimeeleza katika maelezo zangu hauna maelezo yangu wala sija based katka hiyo pich jipange kijana wacha...
  12. M

    Wananchi wa Kawe walia na upinzani

    Ni vizuri kutoa maoni yako kwan ni haki yako kikatiba ila ujui unachosema japo unatumia kasumba ya kutumia maneno ya kiingereza katika kuonyesha ni jinsi gani bado mtumwa wa fikra. Sikia napenda sana kuona watanzania wakivunia rasimali zao kwa haki na usawa ila nachukia sana kuona kuna watu...
  13. M

    Wananchi wa Kawe walia na upinzani

    Sikia sina maana picha niliyoweka ndio matatizo.ya kawe ni hayo 2 ili ni miongoni mwa matatizo.ambayo yanawakabili wakazi wa kawe baada ya kuchagua saccos na kuacha chama. Ndugu yangu hakuna kitu ambacho saccoss( chadema) huwa wanafanya na kukisimamia kwanza chadema msimamo wao ni sawa na...
  14. M

    Wananchi wa Kawe walia na upinzani

    Hahaha siwezi kubadili neno hilo pia sikia kama wewe unao ushahidi kwa yale ambayo mdee ameyanadi katika mikutano yake mwaka 2010 na kaweza kutimiza weka tuweza kuyafahamu pia na mimi nikulete ushahidi kuwa hakuweza kutimiza na kusema kuwa halima ametenda dhambi ya kuogopa japo najua hata mungu...
  15. M

    Wananchi wa Kawe walia na upinzani

    Ok njaa kwa binadamu ni kawaida na kuhusu suala la njaa ndio lilolomfanya Mbowe aende Ikulu. Pia njaa ndo iliyomfanya dr slaa kujiunga na Saccos japo chama cha siasa anakijua
Back
Top Bottom