Recent content by Mlimani TV

  1. M

    JamiiForums Tanzania Keki ya taifa Mlimani TV: Leo tutaangazia tunu za taifa katika Katiba pendekezwa

    Usikose kipindi cha keki ya taifa ambapo leo tutakuwa katika ibara ya tano na ya sita ya katiba pendekezwa tukiangazia tunu za Taifa wageni dr Francis Michael,wakili Evod Mmanda na Mhadhiri Onesmo Kyauke kuanzia saa mbili na nusu hadi saa tatu na nusu usiku leo tarehe 9/3/2015. Unawezesha...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Katika keki ya taifa hii leo:maadhimio ya bunge na hotuba ya rais katika utekelezaji

    Leo tutakuwa na wadau wa siasa,na hasa tutamulika maadhimio nane ya bunge katika sakata la escrow na hotuba ya rais katika utekelezaji wa maadhimio hayo,nini mtizamo wako karibu utoe maoni kisha utapata fusra ya kupeperushwa live hapa mlimani tv chanel 114 startime
  3. M

    JamiiForums Tanzania Keki ya taifa mlimani tv:leo katika keki ya taifa changamoto za uchaguzi wa serikali za mitaa

    Umejifunza nini kupitia uchaguzi wa serikali zamitaa uliofanyika jana?umeridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguizi huo,,,,nini kifanyike kuboresha dosari zilizojitokeza ilizisijirudie tena,, toa maoni yako na mtizamo wako utasomwa moja kwa moja kupitia kipindi cha keki ya taifa saa mbili na nusu...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Maonyesho ya kimataifa ya elimu kuanza disemba 17-21, 2014 , Dar es Salaam

    Maonesho ya kimataifa ya elimu yamesogezwa mbele hadi taraehe 17-21 ilikukidhi maombi ya watoa huduma ya elimu kuanzia shule ya msingi mpaka chuo kikuu waweze kushiriki, haya yatakuwa maonesho ya kwanza ambayo lengo ni kuwa na one stop centre ya elimu Tanzania. Vyuo vikuu vya nje zaidi ya...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya upatikanaji wa taarifa sahihi kwa wanafunzi wakati wa kuhitaji kujunga shule/chuo

    Tunaomba radhi kutokana na sababu ambazo ziko nje ya uwezo wetu kipindi keki ya taifa kilichotarajiwa,kuhusu masuala ya elimu pamoja na changamoto za upatikanaji wa taarifa hakitakujia leo kitawajia siku nyingine tutawataarifu,tunaomba radhi kwa usumbufu
  6. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania kupata taarifa za elimu kuanzia msingi hadi chuo kikuu katika maonesho dec 10 hadi 14

    Taasisi za elimu,vyuo vikuu na shule zaidi ya 500 kutoka ndani na nje ya nchi zitakuwa katika viwanja vya mwalimu Nyerere maarufu sabasaba, katika maonesho ya elimu ya kimataifa ya kwanza Tanzania,ambapo bodi ya mikopo, TCU, wizara ya elimu watakuwa katika viwanja hivyo kuanzia Desemba 10 hadi...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania kupata taarifa za elimu kuanzia msingi hadi chuo kikuu katika maonesho dec 10 hadi 14

    Wizara ya elimu,ofisi ya waziri mkuu tamisemim,tantred pamoja na global eductaion link ltd ,watawakusanya watoa huduma za elimu zote nchini katika eneo moja la viwanja vya mwalimu nyerere maarufu kama sabasaba,kuanzi desemba 10 hadi 15 lengo ni kuanzisha mfumo maalum wa maonesho ambapo wananchi...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Maonesho ya kwanza ya elimu ya kimataifa Tanzania kufanyika Desemba 10-14

    Ofisi ya waziri mkuu tamisemi,wizara ya elimu na mafunzi ya ufundi,mamlaka ya biashara na huduma za nje tantrade pamoja na global eduction link wanatarajiwa kufanya maonesho makubwa ya kimataifa ya elimu ndani ya viwanja vya sabasaba kuanzia shule za msingi hadi chuo kikuu,ambapo watanzania wote...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Keki ya Taifa Mlimani TV: Mada, mifuko ya uwekezaji wa pamoja

    Leo katika kipindi cha keki ya taifa hapa mlimani tv kinachokujia saa mbili na nusu hadi saa tatu na nusu tutakuwa na mada in ayoangalia uwekezaji wa pamoja unaofanywa na fursa zinazotaka na uwekezaji wa pamoja unaratibiwa na utt,,,unaweza kuweka swali lako hapa na litapata fursa katika kipindi...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Keki ya Taifa: Saa 2:30 usiku - 3:30 usiku

    Je,unaridhishwa na maendeleo ya soka la tanzania kuanzia ligi kuu,timu ya taifa na timu za vijana?je tumejikwaa wapi na tufanye nini ili kujikwamua,,toa maoni yako yatarushwa moja kwa moja katika kipindi live mlimani tv(startime chanel namba 114)
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mlimani TV: Leo tutakuwa na Humphrey Polepole

    Katika kipindi cha keki ya taifa kinachorushwa kila Jumatatu saa mbili na nusu mpaka tatu na nusu hapa MLIMANI TV (chanel 114 startimes) leo tutakuwa na mjumbe wa iliyokuwa tume ya mabadiliko ya katiba ndugu Humphrey Polepole,atatizama kwa makini utofauti kati ya rasimu ya pili ya katiba pamoja...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Keki ya Taifa (Live on Mlimani Tv): Miaka 15 bila Mwalimu Julius K. Nyerere

    Habari ndugu watanzania, Leo katika kipindi chetu cha keki ya taifa hapa Mlimani Tv (Startime channel 114) kinachowajia saa mbili na nusu hadi tatu na nusu usiku, tutamulika miaka 15 Taifa la Tanzania bila hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere. Swali ambalo tungependa maoni kutoka kwenu...
Back
Top Bottom