Recent content by mlima wa mizeituni

  1. mlima wa mizeituni

    Chuo cha SAUT badilikeni, Chuo kama shule ya msingi

    Piga picha na kule mwanjonde mkuu!!! Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
  2. mlima wa mizeituni

    Tatizo la Ajali za Barabarani Litatumaliza Watanzania. Je, Kweli Serikali Haiwezi Kufanya Kitu?

    Kwanini iwe NIT pekee? Vyuo vilivyoidhinishwa kufundisha kozi za HGV & PSV havizidi 15 nchi nzima!!! Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
  3. mlima wa mizeituni

    Hivi mnawezaje kuishi Dodoma?

    Hizo nyumba "kubwa jinga" umeziona maeneo gani? Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
  4. mlima wa mizeituni

    Weka Moyo wako huru

    Acha tu mkuu!!
  5. mlima wa mizeituni

    Njia ya gharama nafuu na uhakika ya kusafirisha mizigo kutoka Dar kuja Mwanza

    Ukiwa unatoka Jangwani, ukifika makao makuu ya Yanga kunja kulia. Nyoosha na hiyo barabara kama mita 500 kisha ulizia ilipo ofisi ya FERGUSON(transporter)!! Hapo ni sehemu sahihi kwa hitaji lako..
  6. mlima wa mizeituni

    Hivi kwanini tunaambiwa tuishi na wanawake kwa akili wakati kimsingi tunatakiwa tuishi na kila mtu kwa akili

    Hebu jipe muda kidogo utagundua akili inayozungumzwa ni ipi.. utagundua pia kama unayo au huna!!!
  7. mlima wa mizeituni

    Natumia usafiri gani kuitoa pikipiki kutoka Mtwara kwenda Iringa kupitia Songea?

    Hapo masasi ipakie kwenye lorry hadi songea! Ukifika Songea ipakie kwenye lorry za Bhanji zinazopeleka makaa Uganda. Hawajawahi kukataa mizigo. Watakufikishia vizuri sana!!!
  8. mlima wa mizeituni

    Dodoma kuna shida gani mbona kupata kazi kwenye Private Sector ni ngumu sana?

    Bahati nzuri nazungukia karibu kila mahali penye miradi mikubwa ya ujenzi.. Mtawalaumu vijana bure tu.. kama hakuna anaekufahamu kwenye hizo site, kupata kazi ni ngumu sana!!
  9. mlima wa mizeituni

    Update:- Msimu wa korosho na minada ya korosho 2024/25

    Mnachaji bei gani kwa tani kupeleka dar?
  10. mlima wa mizeituni

    Arusha has set a world record for the longest Landrover parade with 1032 vehicles

    Ile ilikuwa ni shughuli ya wamiliki wa land rover siyo shughuli ya wazalishaji wa landrover.. Mbona Tanzania matukio kama haya yapo sana!! Au haupo nchini? Watu wa subaru hukutana sana, watu wa cruiser hukutana tena wameahidi kufanya event kubwa kuliko hii!!! Wewe unatatizo gani na watu wa...
  11. mlima wa mizeituni

    Wamiliki wa mabus tunaomba mje route ya Songea

    Usiangalie kutisha kwa mlima, angalia elevation!!!
  12. mlima wa mizeituni

    Kinachofanyika Arusha Ni Land Rover Parade, sio Land Rover Festival

    Nyie wazee wa nagashima tulieni kidogo!!! Sounds like kawivu fulani hivi..
  13. mlima wa mizeituni

    Picha: Haya mabasi ya kisasa yanatufanya tuwe wastaarabu sana

    Nadhani hii ni I8 lazima iwe next level!! Katarama ni I6 smaller and less comfy than hilo dude ulilopanda...
  14. mlima wa mizeituni

    Utaratibu wa kuachia vyumba kwenye Hotel, Lodges na Guest House ni wa udhulumaji

    Ukitaka kunyooshana nao nenda saa saba usiku tarehe imeshabadilika!! Kesho saa 4 asubuhi wakitaka kukuondoa utawakamatia hapo kwenye tarehe maana haijabadilika.. Sijui umenielewa? ?
Back
Top Bottom