"Kama kala hela za Chama muondoeni msimuangalie machoni."
Unasema kama Kala hela inamaana huna uhakika, basi Lete ushahidi ili tuamini kuwa ni kweli , kwa sababu mnyika kakanusha wewe tuletee ushahidi.
Vinginevyo tutaamini kuwa ni uzushi.
Ila CCM sijui mnatuonaje wananchi, mlikuwa na vikao na hao chadema baada ya Mbowe Kutoka kolokoloni baada ya kumshukia takribani miezi minane.
Baada ya Yale mazungumzo likitokea nini uchaguzi wa serikali za mitaa? Nchi nzima mlipora uchaguzi , hata Mwalimu wa sekondari mlimwambia hawezi kujaza...
Hii wiki yote wataiona changu kwa hiki walichokifanya.
Watu wameenda kutoa mapovu kwenye post zilizopita wanatukana Vibaya mnoo.
Wanasubili post za Kesho labda nazo wafunge comments.
Nilishatenga pesa ya jezi, Bora nitume kijijini kwetu sitaki tena jezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.