Recent content by Mlima simba

  1. Mlima simba

    GE2025 Maandamano yanayotarajiwa kufanyika tarehe 29 lazima yadhibitiwe kwa sababu yatavunja haki za wengine kuchagua viongozi wao

    Umetumia VPN gani kulog in Jamii Forum? Hiyo ya kufungia mtandao sio haramu? Haivunji katiba?
  2. Mlima simba

    GE2025 Utetezi wa saba wa Tundu Lissu, Mahakama Kuu ya Tanzania kwenye kesi yake ya Uhaini, Septemba 18, 2025

    Kila la kheri mkuu, tupo hapa tunakutegemea Kwa update za Mahakamani
  3. Mlima simba

    GE2025 Kwanini Serikali huwa inawaajiri Mawakili wenye uwezo mdogo sana?

    Binafsi naona KATUGA akili anazo vizuri Tu, ila tatizo linakuja kutetea uongo ni vigumu Sana dhidi ya ukweli.
  4. Mlima simba

    Nimefikia kikomo cha mwisho cha uvumilivu huu ujinga sasa basi

    Nini kimekukuta mkuu? Funguka!
  5. Mlima simba

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    6UFAA4 Sports Bet over one 38 teams
  6. Mlima simba

    Baada ya kuichangai CCM yanga yaona aibu yafunga comment

    Hii wiki yote wataiona changu kwa hiki walichokifanya. Watu wameenda kutoa mapovu kwenye post zilizopita wanatukana Vibaya mnoo. Wanasubili post za Kesho labda nazo wafunge comments. Nilishatenga pesa ya jezi, Bora nitume kijijini kwetu sitaki tena jezi
Back
Top Bottom