Ahsante Sana mkuu Manyanza nimefuatilia kuanzia mwanzo mpaka mwisho ,nimesoma mpaka Nukta ubarikiwe Sana Kwa hii live.
Nasikitika kuna baadhi walikuwa wanatuharibia live yetu, mtu anasema hafuatilii kesi na Hana Muda huo lakini Uzi mzima zinajaa comments zake .
All in all ni democrasia Acha...
"Kama kala hela za Chama muondoeni msimuangalie machoni."
Unasema kama Kala hela inamaana huna uhakika, basi Lete ushahidi ili tuamini kuwa ni kweli , kwa sababu mnyika kakanusha wewe tuletee ushahidi.
Vinginevyo tutaamini kuwa ni uzushi.
Ila CCM sijui mnatuonaje wananchi, mlikuwa na vikao na hao chadema baada ya Mbowe Kutoka kolokoloni baada ya kumshukia takribani miezi minane.
Baada ya Yale mazungumzo likitokea nini uchaguzi wa serikali za mitaa? Nchi nzima mlipora uchaguzi , hata Mwalimu wa sekondari mlimwambia hawezi kujaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.