Ruzuku inausisha mambo mengi ikiwemo idadi ya wabunge wa chama usika..
Sasa sizani kama ingetosha kujenga ofisi nzuri zaidi ya hii ya sasa.
Uongozi mi sioni kama tatizo kwani Wana chama wengi atunashida na hili......
Kwamtazamo wangu matatizo ya cdm ni madogo ukilinganisha na ya ccm especially...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.