Hakuna chama cha upinzani ambacho kina uwezo wa kuongoza nchi!

zainaby, yawezekana umeandika kwa taharuki kutokana na yanayojiri. Kitu kimoja cha kukushauri tu ni kuwa uache mawazo ya mkoloni wa Kiingereza. Mmeshabihiana na mkoloni huyo kwa kila idara. Kabla nchi zilizotawaliwa kupata uhuru wakoloni walijiaminisha kuwa watawaliwa wale wasingeweza kujitawala hata kwa juma moja achilia mbali miaka. Takasa kichwa, badilika!
Unadhani tumeweza kujitawala.
 
Kwa akili yako fupi hata Chakubanga wenu hakubaliani nawe.


Huyu Chaku wa sasa siyo yule wa kabla ya October 2015. Baada ya kulambishwa asali amegeuka kabisa. Huwezi kuamini hivi karibuni tu alisema watz hawahitaji katiba mpya. Eti wanachohitaji watz ni Ukatiba. Huo ndio msamiati mpya wa huyu Chaku wa sasa ambao amekuja nao.
 
Nitaamini hoja yako endapo upinzan watashika nch na kuongoza japo miaka 2. Kwa muda huu siwezi amini ramli zako za hovyohovyo
 
Ruzuku inausisha mambo mengi ikiwemo idadi ya wabunge wa chama usika..
Sasa sizani kama ingetosha kujenga ofisi nzuri zaidi ya hii ya sasa.
Uongozi mi sioni kama tatizo kwani Wana chama wengi atunashida na hili......
Kwamtazamo wangu matatizo ya cdm ni madogo ukilinganisha na ya ccm especially ya sasa ivi.
 
Naenda moja kwa moja kwenye mada.

Ccm ni chama tawala lkn kimefika mahali kinaendeshwa kwa matakwa ya mtu mmoja , wengine wote wanafuata amri na maelekezo na huyo mtu.

Kwa bahati mbaya mwenyekiti wa chama ndiye rais pia, hii inapelekea mwenyekiti na ccm kuwa kama Mungu wa ccm kwani yeye ndiye rais na mwenyekiti pia. Kibaya zaid mwenyekiti huyu hapendi kupingwa wala kukosolewa na yyote .....

Wanaccm tumebaki kunung'unikia uvunguni hatuwezi kusemea hadharani maani ukibainika kumkosoa hadharani utaitwa msariti na pengine kufutiwa uanchama wako.

Ktk uongozi was juu wa chama wa miaka ya nyuma hakujawahi tokea uongozi wa namna hii.

Ukimsifia tu mwenyekiti jiandae kulamba cheo ukienda kinyume jiandae kukumbana na ghasia.

Pamoja na ongwe hili la uongozi ndani ya chama twawala bado sioni chama mbadala ambacho kinaweza kupambana mpaka kushika hatamu ya uongozi badala ya ccm.

Nikiangalia chadema bado naona wapo kisanii sanii tu kwa sababu zifuatazo;

Chadema pamoja kuwa chama kikuu cha upinzani lkn hawana hata ofisi moja wanayomiliki...angalia makao makuu yao...

Jiulize pesa wanapeleka wapi mpaka hata kujenga ofisi wanashindwa?

Tukiacha na ofisi nikija kwenye uongozi ukakutana na yafuatayo

Nao pia wanakumbwa na ombwe la uongozi...ndiyo nao wana udikta ulio wazi kbsa.

Nasema hivi kwasababu mwenyekiti wa chama anaonekana ndiye mmliki wa chama maamuzi yake hayapingwi.

Angalia kuingia kwa Lowasa chadema maamuzi yalifanywa na mwenyekiti na baadae kukaa vikao hewa kuwahadaa wenzie mpaka Dr. Slaa akaamua kujiweka kando.

Ukija kwa cuf unakutana na mambo Yale Yale...muangalie prof. Lipumba amekubali kutumika kwaajili ya kujaza tumbo lake, huyu nae alitaka tumchague awe Rais ...je tungemchagua kwa njaaa hii tungekuwa salama?

Ukiangalia Act unakutana na ya akina Kitila na Ana Mngwira full njaa.

Emu niambieni twende wapi na kwa chama gani kupata ukombozi kamili?

Nabaki kusema heri kubakia na zimwi likujualo kuliko kukimbili zimwi jipya .

Lazaro Nyarando hakuna ulichokwepa my dear.

Nahitimisha kwakusema wakuiponya ccm in sisi wenyewe wana ccm.
Wewe unaangalia majengo ya makao makuu ya ofisi au unaangalia hekima,busara na weledi Wa kuongoza?,..unataka wajenge maofisi makubwa Kwa ruzuku IPI hasa mnayowapa na serikali yenu?,..hiyo hata kulipa mishahara tu haitoshi wachilia mbali diesel na Huduma nyingine km umeme nk....
Hivi unadhani hizo ofisi za CCM mikoani,wilayani,vijiji,kata na makao makuu zilijengwa Kwa pesa za ruzuku?...pole mkuu km ulidhani zimejengwa Kwa ruzuku,...hiki chama chenu kimejijenga Kwa Kwa pesa za serikali,kodi zetu watanzania wote.enzi hizo chama kilikua kimoja tu,na kilihudumiwa kila kitu Kwa pesa za serikali,kuanzia mishahara,kujengewa majengo,kununua magari nk.Leo hii eti wajinga wachache wanaona wana chama kilicho na uwezo,...km unadhani ruzuku inaweza kujenga chama hebu Leo hii turudishe Mali zote za CCM zilizokuwepo kuanzia 1991 na kurudi nyuma,ziwe Mali za serikali halafu muanze kujenga majengo yenu Kwa pesa za ruzuku km mtaweza,pamoja na kuwa mnapata ruzuku kubwa lkn yote inaishia kulipa mishahara ya wenyeviti wenu na makatibu Wa mikoa na wilaya nchi nzima pa1 na gharama nyingine,...Kwa taarifa yako hata hayo magari ya CCM yalioko kwenye matawi ya wilaya na mikoani mafuta huwa wanatoa serikalini Kwa kuwataka wakurugenzi Wa wilaya,miji na manispaa wawajazie mafuta full tank,...wakurugenzi nao Kwa kuogopa au kulinda ajira zao wanajikuta wanajaza mafuta Mara Kwa Mara kwenye magari ya CCM,maana wanaona mwenyekiti Wa mkoa akipiga cm Kwa mkuu Wa kaya na kutengeneza fitna basi lazima atahamishwa au kutolewa kabisa kwenye uongozi,msala unakuja je?..mkurugenzi anatoaje mafuta ya serikali Kwa gari yenye namba ya kiraia?...kibali/invoice ya mafuta inatakiwa iandikwe namba ya gari LA serikali...ST,SM,DFP, na invoice au kibali kisainiwe na dereva anayeendesha hilo gari,then kipelekwe kituo cha mafuta kujaza mafuta,...wakurugenzi hawa Kwa kuogopa kupata shida kwenye auditing wanawalazimisha madereva kusign invoice/kibali na kuandika namba ya gari LA serikali ili ionekane mafuta yamewekwa kwenye gari LA serikali,na madereva hawa Wa serikali Kwa kuogopa cjui ni rungu LA adhabu kutoka Kwa waajiri wanajikuta wanasign Kwa shingo upande wakiogopa kukataa maana wanatishiwa kunyang'anywa gari na kukaa benchi na cku zote mishahara ya dereva Wa serikali ni midogo sana,wengi wanaishi Kwa posho za safari na wizi Wa diesel,sasa akikosa gari ndo kwisha habari yake.halafu Leo mnakuja kusema eti vyama vimeshindwa kujiendesha,ndio vimeshindwa 7bu ya mfumo mbovu Wa serikali Wa kupendelea chama tawala na kukipata mahitaji muhimu toka serikalini,...Nina ushahidi kibao Wa gari za serikali zinavyotumika kwenye kampeni za mgombea Wa uraisi Wa CCM,ukitaka niumwage nitaumwaga Kwa sharti,.....hapa nawadokeza tu kuwa huwa wanabadilisha plate no na kufunga za kiraia kisha gari inazunguka kwenye kampeni wilaya nzima hadi mgombea atakapo toka kwenda wilaya nyingine.....mnisamehe Kwa kuwasomesha gazeti....MPOVU ON FLEEK maana nimekereka.
 
Ifanye democrasia iwe wazi kwanza , tuwekeni wazi mapato na matumizi ya luzuku kwanza. Ndipo uje tuendelee na mjadala
Unadhani hayawekwi wazi Kwa walio na chama chao?./.tatizo ni kuwa hayakufikii wewe ambae huna faida na chama,sisi wenye nacho tunajua mapato na ruzuku yetu kidogo tunayopata ya kuanzia ngazi ya wilaya,ila hatujui ya chama chenu maana hakina faida na sisi na wala hatuhitaji kujua,. Ila nyie wenye chama chenu mkijua mapato na ruzuku yenu itawasaidia nyie sio sisi tunaojichukia.
 
Wanawake wote humu jf lumumba tupu ndiyo ujue mwanamke mawazo yake yote mwanaume mshine na mwanaune atm, cdm wakicgukua dora wote watakuwa cdm
 
makao makuu ya chadema hata mimi yananitisha niwaone janja janja
mkuu kwani Lumumba mmejenga lini? si Mwaka juzi baada ya kukaa kwenye kile kijengo kama kiota miaja zaidi ya hamsini? CHADEMA Haina miajka hamsini
 
Naenda moja kwa moja kwenye mada.

Ccm ni chama tawala lkn kimefika mahali kinaendeshwa kwa matakwa ya mtu mmoja , wengine wote wanafuata amri na maelekezo na huyo mtu.

Kwa bahati mbaya mwenyekiti wa chama ndiye rais pia, hii inapelekea mwenyekiti na ccm kuwa kama Mungu wa ccm kwani yeye ndiye rais na mwenyekiti pia. Kibaya zaid mwenyekiti huyu hapendi kupingwa wala kukosolewa na yyote .....

Wanaccm tumebaki kunung'unikia uvunguni hatuwezi kusemea hadharani maani ukibainika kumkosoa hadharani utaitwa msariti na pengine kufutiwa uanchama wako.

Ktk uongozi was juu wa chama wa miaka ya nyuma hakujawahi tokea uongozi wa namna hii.

Ukimsifia tu mwenyekiti jiandae kulamba cheo ukienda kinyume jiandae kukumbana na ghasia.

Pamoja na ongwe hili la uongozi ndani ya chama twawala bado sioni chama mbadala ambacho kinaweza kupambana mpaka kushika hatamu ya uongozi badala ya ccm.

Nikiangalia chadema bado naona wapo kisanii sanii tu kwa sababu zifuatazo;

Chadema pamoja kuwa chama kikuu cha upinzani lkn hawana hata ofisi moja wanayomiliki...angalia makao makuu yao...

Jiulize pesa wanapeleka wapi mpaka hata kujenga ofisi wanashindwa?

Tukiacha na ofisi nikija kwenye uongozi ukakutana na yafuatayo

Nao pia wanakumbwa na ombwe la uongozi...ndiyo nao wana udikta ulio wazi kbsa.

Nasema hivi kwasababu mwenyekiti wa chama anaonekana ndiye mmliki wa chama maamuzi yake hayapingwi.

Angalia kuingia kwa Lowasa chadema maamuzi yalifanywa na mwenyekiti na baadae kukaa vikao hewa kuwahadaa wenzie mpaka Dr. Slaa akaamua kujiweka kando.

Ukija kwa cuf unakutana na mambo Yale Yale...muangalie prof. Lipumba amekubali kutumika kwaajili ya kujaza tumbo lake, huyu nae alitaka tumchague awe Rais ...je tungemchagua kwa njaaa hii tungekuwa salama?

Ukiangalia Act unakutana na ya akina Kitila na Ana Mngwira full njaa.

Emu niambieni twende wapi na kwa chama gani kupata ukombozi kamili?

Nabaki kusema heri kubakia na zimwi likujualo kuliko kukimbili zimwi jipya .

Lazaro Nyarando hakuna ulichokwepa my dear.

Nahitimisha kwakusema wakuiponya ccm in sisi wenyewe wana ccm.
Sasa dada unawashwa nini? Si ukae kwenye lichama lenu bovu?
 
Back
Top Bottom