Wala msimwite mtu yeyote ‘Baba’ hapa duniani, maana Baba yenu ni mmoja tu, aliye mbinguni. Wala msiitwe ‘Viongozi,’ maana kiongozi wenu ni mmoja tu, ndiye Kristo. Aliye mkubwa miongoni mwenu ni lazima awe mtumishi wenu. Anayejikweza atashushwa, na anayejishusha atakwezwa.
Mathayo 23:9-12
HAKUNA FANI ISIYOKUWA NA AJIRA TANZANIA, hao wanaojiita wasomi wengi ni wavivu wa kufikiri,wanashindwa kuona elimu yaliyonayo kama asset, na asset is anything which generate INCOME, duniani kuna fursa nyingi sana, bundle hilohilo unatumia kufanya ujinga kwenye mitandao ya kijamii, kuna mwingine...
nia ya Mh.Waziri Mkuu ni vijana kujiongeza ili kufikia malengo yao katika maisha, in five years to come hali itakuwa mbaya sana kwa graduate, POVERTY IS THE LACK PRODUCTIVITY, YOU CAN NOT BE PRODUCTIVE IF YOU HAVE NO KNOWLEDGE, WHERE TO FIND KNOWLEDGE ? Ndio huko VETA, BAKITA, SIDO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.