Acheni mambo yenu Mimi mwenyewe first year bt huwa tulikuwa hatutaki kuvaa kivile bt kutoka mabibo kuja ubungo tunakataa kuweka mfukoni tutasahau alaf tukifika pale getini ma auxiliary wanazingua htr ndo mana tunavaa mda wote
Aalafu naomba kuuliza account ya benki ninayo exim na stanbic pia hii bank statement naweza ipata ht km cjafanya miala ya kuweka na kuchukua zaid ya mara mbili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.