How To Identify Legit Work At Home Business.

my best ptc site of all time which pay more than NEOBUX per ad is here !!!


728x90.png
 

Attachments

  • 468x60.png
    468x60.png
    4.5 KB · Views: 31
Asante kamanda kwa uzi huu,wengine ndio umetufungua kwenye hii dunia.

Nimeweza kujiregister kwenye NeoBu na Paypal,lakini nashindwa ku link MasterCard yangu na paypal akaunti yangu,tatizo ni credit card verification number,wanasema n 3 to 4 digits,kila nikijaribu kuweka 4 digits za mbele inagoma,nikiweka the last three digits za nyuma inagoma,naomba mnisaidie,ni namba zipi unabidi uweke kama verifacation namba kwa kutumia master card za crdb.

Nawasilisha.
 
asanteni kwa kutufungua macho katika mambo haya ya kimaendeleo,mimi didnt know these things,nawashukuru sana...sas kwa sisi tusio na hiyo paypal account tunafanyaye?does that mean siwez kujiunga au what shud I do kupata such ac ili niweze kua member pia??thx...
 
Asante kamanda kwa uzi huu,wengine ndio umetufungua kwenye hii dunia.

Nimeweza kujiregister kwenye NeoBu na Paypal,lakini nashindwa ku link MasterCard yangu na paypal akaunti yangu,tatizo ni credit card verification number,wanasema n 3 to 4 digits,kila nikijaribu kuweka 4 digits za mbele inagoma,nikiweka the last three digits za nyuma inagoma,naomba mnisaidie,ni namba zipi unabidi uweke kama verifacation namba kwa kutumia master card za crdb.

Nawasilisha.

Kibode,
Kwanza am sorry kwa kutoijibu post yako kwa wakati coz' i was busy na mambo mengine ya kimaisha. Kuhusu ku-link Credit Card yako na Paypal account ni kwamba, verification code haipatikani kwenye hiyo card. Wakati una-link card yako na paypal, utakatwa $1.95 ambayo itakuwa refunded later. Wanakata hiyo $1.95 ili ku-verify kwamba una bank account. Wakishakata hiyo $ 1.95, nenda kaombe bank statement to ur nearest branch unless kama una huduma ya e-statement. Ukicheki kwenye statement yako, utakuta Debit ya sh.3000 na senti kadhaa (equivalent to $ 1.95). Aidha, ukiangalia kwenye debit utakuta transaction details na hapo utakuta number yenye 4 digits. Hiyo number ndio verification code unayotakiwa kuitumia.
NB: Nyuma ya card yako, utakuta 4 digits.....hizo ni security codes ambazo utazitumia wakati wa kufungua paypal account.
 
asanteni kwa kutufungua macho katika mambo haya ya kimaendeleo,mimi didnt know these things,nawashukuru sana...sas kwa sisi tusio na hiyo paypal account tunafanyaye?does that mean siwez kujiunga au what shud I do kupata such ac ili niweze kua member pia??thx...
Having a paypal account is not the big issue....ikiwa una bank account na banker wako anatoa visa/master cardthen u can have paypal account ambayo inaweza kukusaidia kufanya hata online shopping. Hata hivyo, kabla hujaangahika na hiyo paypal akaunti, anza kwanza kujiunga hapa: http://www.neobux.com/?rh=4E617344617A . Paypal account haitakuwa na msaada kwa sasa hadi hapo utakapokuwa member wa hiyo link kwa at least 15 days.
 
sasa naona wabongo tumeamka kwa hizi ishu ila mimi ni mmoja kati ya members wa neobux na buxp lakin tatizo mojawapo nililokutana nalo ni kuhusu zile payment processor ,mimi natumia alertpay{payza} but ninashindwa ku-fund account yangu ya alertpay kutoka kwenye bank account ili ni rent referrals kwa ajili ya kuongeza kipato zaidi.
kama kuna mtu mwenye alertpay account ambayo ni verified ningependa kuongea nae BIG DEAL
Mkuu mimi nina shida jinsi gani naweza kufungua paypal au payza kwny verification huwa nashindwa mkuu naomba msaada wako
 
Aalafu naomba kuuliza account ya benki ninayo exim na stanbic pia hii bank statement naweza ipata ht km cjafanya miala ya kuweka na kuchukua zaid ya mara mbili
 
Let me start on how you can make money with these people.
As stated earlier, aina hii ya online money making inafahamika kama Pay To Click, yaani PTC. Kuna PTC websites nyingi sana, tena sana! Lakini nyingi ni scammers! So, kama jina lilivyo (PTC), member analipwa kutokana na idadi ya matangazo anayoangalia ambayo yanakuwa displayed mara kwa mara!! Ni kama jambo lisilowezekana, lakini kibiashara inawezekana! Si ajabu katika kuangalia angalia huko unaweza kukutana na product or service ambayo umeipenda na ukajikuta unainunua ingawaje lengo lako halikuwa hilo!!! So, kila unapo-click tangazo na kuliangalia, you get paid. Hiki kiasi unacholipwa kutokana na matangazo unayoangalia kinaingizwa moja kwa moja in your Main Account. Likewise, in every adverts you watch, unapata 1 Neo Point Bonus ambayo nayo inaingizwa moja kwa moja kwenye your account. Therefore, you can transfer your cash available in your main directly to your PayPal Account which you can also transfer them to your ordinary account. Kutokana na hilo, utaona kwamba, in order to transfer your cash received from your Neobux inabidi uwe na PayPal Account!! Nazani ni challenge kidogo lakini usitishike kwavile tu hauna PayPal Account. Binafsi, nili-join wakati hata ndoto ya kuwa na Paypal account sikuwa nayo!! Lakini my main balance ilipokuwa na pesa ya kutosha ndipo nikaamua kufungua account CRDB na kupata Visa Card ambayo iliniwezesha kufungua PayPal account kisha nikaamisha mkwanja kutoka Neobux hadi kwenye account yangu ya CRDB!!
Na kuhusu NeoPoints, hizi zinakusaidia kupata deals mbalilmbali zinazotolewa. Mathalani, unaweza kukuta mtu mwenye NeoPoints 20,000 basi anaweza pewa kitu kama laptops na vitu vingine kama hivyo!
NOTE: Sincerly speaking, njia ya kuangalia matangazo inalipa fedha ndogo sana!! Hata hivyo, wakati unaangalia matangazo, unaweza kukutana na offers mbalimbali kama Adprizes ambazo zenyewe zinalipa vizuri kidogo as compared to matangazo ya kawaida! Hata hivyo, si ya kutegemea sana.
SO CAN YOU MAKE ENOUGH MONEY?!
The best way to make enough money with ZERO cost is through Dirrect Refferals. Yaani, as you invite as many members as possible na kama members wenyewe ni active then you make money through them. Lakini kwa wale wenye uwezo, huwa wanaamua kukodi hizo refferals, hata hivyo bei yake si kubwa. Na namna nyingine ya kuongeza ni kwamba you pay about $2 a day ili kutangaza link yako.

How much you can earn?!
Kama nilivyotangulia kusema hapo awali, ukiwa commited, you can earn not less $200 a month! Hata hivyo, wapo wanaopata more than $2000 a month! Lakini any amount above $ 500 utahitajika kutumia fedha kidogo; angalau $ 100++ a month.
WHAT YOU NEED TO DO NOW?!
Hawa jamaa wana complication kidogo. Sio kama JF kwamba una-join leo na leo leo unaanza ku-post...kwa hawa NO! Kwanza, ili uweze ku-invite refferals, unatakiwa uwe member kwa not less than 15 days na kungalia angalau matangazo 100! Hata hivyo, viwango ni vya sasa baada ya members kulalamika na zamani wakati mimi naingia ilikuwa ni lazima uwe member for at least 30 days. Hata hivyo, wala usitishike na hayo matangazo 100. Unaweza ku-afford kufikia hicho kiwango in a week.
Ask me anything if you wanna knw more infos
Mkuu, soreee...nlikua naomb kukuuliza kua so kama mtu anajiunga haina haja ya kukimbilia kwanza kufungua akaunt benk ama paypal...ajiunge kwanza then zipite hizo siku 15 na uwe umepitia matangazo zaid ya 100 ..au nimekosea naomb ufafanuzi..binafs nna akaunt benk ya crdb..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom