Recent content by Mlanje

  1. M

    Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

    Huu ni ukweli mtupu na unatakiwa kuungwa mkono na kila mwenye akili,vijana tunakosea sana linapokuja suala la kuoa.Unamkuta mtu humjui hata kwao akikwambia jina lake tu inatosha na unataka ule tu,aidha uondoke au ndio hivyo tena unaoa.Mkianza kupishana unaanza kumlaumu Mungu,kama tu kwenye mambo...
  2. M

    Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!

    Ulivyo mjinga yaani unadhubutu kutuambia katiba ibadilishwe ili Rais atawale mpaka achoke kwa vyovyote vile tuheshimu katiba yetu kuliko watu.
  3. M

    Kutongozwa na mpenzi ambaye mmeshaachana (ex)

    Mwambie sikupendi na unamwona kama kinyesi kama ulivyopost hapo juu.Shida yako unajibebisha ukiwa nae na usishangae unalia kabisa ukiwa nae ,na kwa kweli ni vigumu sana mwanaume kutolala na mwanamke wake wa zamani kwa uzoefu wangu kuna siku utampa tu,after all why not?Kwa Mimi ex wangu hana...
  4. M

    Kutongozwa na mpenzi ambaye mmeshaachana (ex)

    Bila chembe ya shaka we we bado hauko Sawa na hiyo x-wako.Kwanini umfanyie kitu kibaya kama umemsamehe?Na pia hivi kipindi chote alikufanyia ubaya tu ?huenda alijitoa sana kwa ajili yako kwa vitu Fulani nyakati Fulani.All in all forgive and move on.
  5. M

    Tundu Lissu: Letters from a Nairobi Hospital Bed

    Great minds think alike
  6. M

    Kama uenyekiti ndio hivi, wakionja urais watafia Ikulu

    Sawa lakini waziri una kauli gani juu ya waliompiga risasi Lissu?
  7. M

    Dotto Bulendu: Haya ndio maisha ya Tundu Lissu ya Mikikimikiki Sekta ya Madini

    Kwa kifupi nimesoma kitabu cha Tundu Lissu na Mark Curtis kiitwacho "The Golden Opportunity"na kuweza kugundua namna jamaa ambavyo ameanza muda mrefu kuongea juu ya wizi wa rasilimali za nchi hii.Wahenga walisema mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,ni mtu asiyemfahamu Lissu ndio anaweza kubeza...
  8. M

    Wakati Mahakama ya juu ya Kenya ikifuta ushindi wa Kenyatta huku kwetu kuna mhimili mmoja umechimbiwa chini sana

    Wakuu katika kutafakari yaliyotokea kwa jirani Kenyatta nimejikuta nikikumbuka kauli ya mkuu wa kaya kwamba kuna nguzo moja kati ya tatu za kaya yetu imechimbiwa chini sana.Nimecheka sana kwa kweli,labda alikuwa anatutania maana kaya yetu itakuwa imedidimia upande mmoja.Yote juu ya yote tuache...
  9. M

    Faida za vibamia

    Haaahaaa watch out not to that extend jamii forum raha sana
Back
Top Bottom