Mimi sipo nyuma ya Kikwete kwa upumbavu mnaoutetea wa kusaini mswada! Kikwete atakuwa anakumbukwa kwa mema endapo 2 hatausaini upuuzi wa wabunge wake mamluki na wachumia tumbo! Katiba ni yatanzania na siyo ya vyama vya siasa!
Katumwa huyo! Hana jipya kaka! Cha kujiuliza ni je Dr Salim, Jaji Warioba, Mzee Butiku, Prof Baregu na WENGINE ni VICHAA KUPENDEKEZA SERIKALI 3? JE 2naoshadadia serikali 2 mnaelimu na ufahamu wa nchi yetu kuliko TUME YA KATIBA?
Katumwa huyo! Hana jipya kaka! Cha kujiuliza ni je Dr Salim, Jaji Warioba, Mzee Butiku, Prof Baregu ni VICHAA KUPENDEKEZA SERIKALI 3? JE 2naoshadadia serikali 2 mnaelimu na ufahamu wa nchi yetu kuliko TUME YA KATIBA?
Mlishajiuliza kwann Kikwete anapingana na MACCMA mashambenga kama Hamy D, Riz na wengne wenye tabia kama zao hata kwenye CC YA CHAMA? Chukua tafakari na chukua hatua!
Nadhali VILAZA WA CCM mmejibiwa vyema na Kamanda anayeogopeka kama Njaa Tundu Lisu. Asante sana Kamanda wangu. Natambua jinsi CCM walivyojitahidi kuwa rubuni wajumbe wa mabaraza kuimba Kiitikio "Kwasababu 2napendekeza serikali mbili" na kuumbuliwa na Mzee Butiku na Mama Kibibi.
Hv mleta mada uliangalia ITV taarifa ya habari ya saa 2 usiku jana? Nina maswali 3 kwako na wote mnaoshabikia CCM CHA MFU! 1. Kwa nn chadema, cuf na nccr mageuzi walitoka ndani ya ukumbi wa bunge? 2. Kwa nn wabunge wa ccm walifurahi baada ya upinzani kutoka? 3. Je kwann cuf na nccr mageuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.