Sioni kosa la warioba kwani Ana haki kikatiba kutoa maoni and by da way hajasema kuwa tuikatae Bali alijaribu kuchambua kwake yeye mazuri yaliyopo na ambayo cyo mazuri so kazi kwako kuipitia tena ili uweze kuipa kura ya ndio au Hapana kama inakufaa wewe na kizazi chako kijacho au la.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.