Licha ya kuwa wanacheza nyumbani ila ukijaribu kuchunguza nyuso za wanasimba wote utaona zimepooza.
Wanaonekana wamejaa huzuni na hofu kubwa.
Huku mtaani na vibanda umiza wamekuja kuangalia mpira bila kuvaa jezi zao..
Sijui hali watakayokuwa nayo baada ya dakika 90 kuisha..
Tuwaombee ndugu...
Simba ni wadogo sana Kwa Yanga, Yanga ana ubingwa wa nchi mara 29 Simba mara 22.
Yaani Simba inaitaji ichukue ubingwa wa nchi mara 8 ili iwe juu ya Yanga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.