mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 682
- 1,461
Ukistaajabu ya Musa basi utayaona ya firauni...
Kuna timu mojawapo hapa nchini Huwa inaanza msimu Kwa mikwara mingi sana ila mwishoni mwa msimu huwa inaangukia pua vibaya sana
Wakati wa maandalizi ya kuanza msimu huu tuliwasikia wameenda kuweka Kambi Misri.
Mara hatujakaa sawa tukawasikia wameenda Sudan kuweka Kambi na kucheza mechi za kirafiki na timu vigogo barani Afrika
Hatujakaa sawa katikati ya Msimu hao tukawasikia wameenda Dubai kuweka kambi
Mara tukawasikia wamecheza mechi za kirafiki na timu zinazoshiriki UEFA champions league...
Sasa kumbe haya maandalizi yote yalikuwa ni kuja kucheza nusu fainali ya Azam Confedaration Cup
Hata hivyo wamejitahidi kutetea kombe lao la robo fainali na wamefanikiwa pia kuondoka na kombe jipya la kufa kiume
Uzi tayari.....
Kuna timu mojawapo hapa nchini Huwa inaanza msimu Kwa mikwara mingi sana ila mwishoni mwa msimu huwa inaangukia pua vibaya sana
Wakati wa maandalizi ya kuanza msimu huu tuliwasikia wameenda kuweka Kambi Misri.
Mara hatujakaa sawa tukawasikia wameenda Sudan kuweka Kambi na kucheza mechi za kirafiki na timu vigogo barani Afrika
Hatujakaa sawa katikati ya Msimu hao tukawasikia wameenda Dubai kuweka kambi
Mara tukawasikia wamecheza mechi za kirafiki na timu zinazoshiriki UEFA champions league...
Sasa kumbe haya maandalizi yote yalikuwa ni kuja kucheza nusu fainali ya Azam Confedaration Cup
Hata hivyo wamejitahidi kutetea kombe lao la robo fainali na wamefanikiwa pia kuondoka na kombe jipya la kufa kiume
Uzi tayari.....