Inasikitisha sana, kuitwa wapumbavu, na kuhaidiwa rushwa waziwazi ya 50 ml. katika vijiji endapo atashinda magufuli, wakati huo serikali iliyopo madarakani inashindwa hata kununua dawa katika zahanati zilizopo ndani ya vijiji vilivyoahidiwapesa. Hii inasikitisha kwa sauti ya pamoja kemea rushwa...
du ccm wameishiwa hoja na ndiyo maana wanaishia kuporomosha matusi kwenye uzinduzi wa campaini, namashaka siku za usoni kama hawatatupa mabom, naamini mzee mkapa kuporomosha matusi ya nguoni hakujitambua, tumsamehe, kwani zotehizo ni hekaheka za kutaka kuinusuru ccm, ccm kwishinee. Ukawa daima...
mi ninacho amini kwa sasa siyo watu kumuogopa na kumwabudu mungu Bali huende kufanya biashara zao kama kuuza magazeti na taarifa nyinginezo, hili so la kushamgaza
jamani sijaelewa dhidi ya mkopo wa elimu kutoka pspf, wanatoa tuu ada au na accommodation nyinginezo. harafu unapata mkopo hata ukipata chuo Nje au la naomba ufafanuzi wadau
hapo umenena! hilo ndo la msingi hakuna jingine zaidi ya hilo mengine ni kupotezeana muda mnajadili kitu ambacho kinamajibu kuwa hata mkikaa mezani msimamo na matakwa ya ccm ni kutimilika na kuipitisha katiba bila kujali maoni ya wananchi.
ni vyema kuwajibika mwenyewe mh. sitta kuliko kuipata aibu ambayoitasumbua maisha yako na utu wako! ubabe na kiburi si kitu cha busara. na kiongozi mwenyebusara ni yule anayetetea maslahi ya umma (watu wanyonge na wengi) kuliko kutetea wachache na wababe wasiojari utu wa mtanzania, ushauri wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.