Recent content by mlale v

  1. M

    TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

    Pumzika salama kamanda, sote tunjiani twaja, bwana aiweke roho ya marehemu mahara pema peponi amina!!
  2. M

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Inasikitisha sana, kuitwa wapumbavu, na kuhaidiwa rushwa waziwazi ya 50 ml. katika vijiji endapo atashinda magufuli, wakati huo serikali iliyopo madarakani inashindwa hata kununua dawa katika zahanati zilizopo ndani ya vijiji vilivyoahidiwapesa. Hii inasikitisha kwa sauti ya pamoja kemea rushwa...
  3. M

    Lowassa, Duni wamsindikiza Seif kuchukua fomu za kuwania urais wa Zanzibar

    du ccm wameishiwa hoja na ndiyo maana wanaishia kuporomosha matusi kwenye uzinduzi wa campaini, namashaka siku za usoni kama hawatatupa mabom, naamini mzee mkapa kuporomosha matusi ya nguoni hakujitambua, tumsamehe, kwani zotehizo ni hekaheka za kutaka kuinusuru ccm, ccm kwishinee. Ukawa daima...
  4. M

    Msikilizeni Zitto Star TV

    hana jipya
  5. M

    ACT-Wazalendo tangazeni sera za Chama chenu sio mtu

    Zito njaa Kali, mfa maji hakosi kutapatapa
  6. M

    Tundu Lissu ndani ya Mafia

    Peoples, adui msogelee,Mafia mpoooo M4C ndo kila kitu. Lisu unasubiliwa ILEJE, sikumoja fika.
  7. M

    Wafanyabiashara wa Kariakoo, tuwasiliane

    kaeni chonjo hakuna biashara isiyo kuwa na mkataba wa aina yoyote, jamaa ajipange upya
  8. M

    Pengo unamsamehe Gwajima kwa kosa gani?

    mi ninacho amini kwa sasa siyo watu kumuogopa na kumwabudu mungu Bali huende kufanya biashara zao kama kuuza magazeti na taarifa nyinginezo, hili so la kushamgaza
  9. M

    PSPF, Utaratibu wa mkopo wa elimu ya juu upoje?

    jamani sijaelewa dhidi ya mkopo wa elimu kutoka pspf, wanatoa tuu ada au na accommodation nyinginezo. harafu unapata mkopo hata ukipata chuo Nje au la naomba ufafanuzi wadau
  10. M

    Rais Kikwete akutana na Wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania mjini Dodoma leo

    hapo umenena! hilo ndo la msingi hakuna jingine zaidi ya hilo mengine ni kupotezeana muda mnajadili kitu ambacho kinamajibu kuwa hata mkikaa mezani msimamo na matakwa ya ccm ni kutimilika na kuipitisha katiba bila kujali maoni ya wananchi.
  11. M

    Mheshimiwa Samweli Sita - Heshima kitu Cha Bure _Linda Heshima yako - Jiuzulu

    ni vyema kuwajibika mwenyewe mh. sitta kuliko kuipata aibu ambayoitasumbua maisha yako na utu wako! ubabe na kiburi si kitu cha busara. na kiongozi mwenyebusara ni yule anayetetea maslahi ya umma (watu wanyonge na wengi) kuliko kutetea wachache na wababe wasiojari utu wa mtanzania, ushauri wangu...
Back
Top Bottom