Recent content by Mkyn

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hii ni aibu kwa taifa, ni kwamba sisi hatuna akili au tumelaaniwa? Tanzania vs Singapore

    Kinachotakiwa ni " ni hatua gani tuichukue kulikabili hili" na si kuzama kwenye mengineyo. Nchi hii inahitaji hatua ngumu ngumu ngumu sana kwa hapa tulipofika wenyewe au kufikishwa na wengine.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Inafedhehesha na kutia Aibu kuona Katibu mkuu mstaafu wa TEC, Dkt. Slaa Anaongozwa na kuendeshwa na Mdude Nyagali

    Maadamu Balozi Dr. Slaa hajakuomba uyanene hayo kwa niaba yake, si kwamba unajaribu kutuonyesha wewe mwenyewe ulivyo (kila ukimfikiria Mdude) kwa mgongo na sura ya Dr. Slaa??? !!! Kwa maneno mengine criticism yako kwa Dr. Slaa ni taswila ya wewe mwenyewe ulivyo ( self yako ilivyo ) mbele ya Mr...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wakili Mwabukusi na wenzake wanastahili kuungwa mkono

    Inatuonyesha wazi UIMARA wa Dr. Slaa ulivyo na alivyo tishio kwa wale wasio tayari kuachana na ulaghai uliozagaa karibia nyanja zote, ulioshika mizizi na umekomaa, unaoitesa nchi kwa sasa.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania, ni wakati sasa wa kumtafuta mtu mahiri wa kulikomboa Taifa

    Huyo jasiri mwenye kuweza kufanya hayo kwa sasa ni Balozi Dr. Slaa akisaidiwa na wachache wanaojinasibu kwa sura hiyo hiyo.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Dk Slaa: Sina Nia Ya Kujiunga Na Chama Chochote Cha Siasa!

    Pamoja na kuyatamka hayo, hajapigilia msumali wa maneno "HANA NIA TENA...au ...MILELE". Kwa sababu hiyo bado nafasi anayo na inamsubili kwa manufaa ya watanzania.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Wenza wa vigogo kulipwa mafao

    Ni wakati sasa tutoe hadharani hisia zetu kwa vitendo vinavyopeleka ujumbe makhususi kwa wahusika.
  7. M

    JamiiForums Tanzania KWELI Ofisi ya Msajili yawasihi CHADEMA kusitisha Mkutano uliopangwa kufanyika Julai 23, 2023 huko Bulyaga, Temeke

    Ionyeshwe barua rasmi kama hili lipo. Isije kuwa ni maneno tu yasiyo rasmi.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Orodha ya Vigogo Wazalendo watakaohutubia Mkutano wa hadhara Temeke

    Kuna loudspeaker zinapita maeneo mengine hapa jinini zikitangaza kuwa kutakuwa na mkutano wa wafanyabiashara jumapili...........???!!!
  9. M

    JamiiForums Tanzania Askofu Maximillian Machumu: Mkataba wa Bandari tunasema HAPANA

    Umekopi au umetueleza?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kuna mstaafu mmoja wanajaribu kumpa majukwaa ili atengeneze mvuto lakini wapi, raia hawamuelewi hata kidogo

    Zaidi ya hapo ni "NARCISSIST" wa kikimyakimya wa aina ya "SOCIOPATH". Na ndo maana wengi na hata anayeongoza kwa sasa hawaoni madhara aliyonayo kwa taifa.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Askofu Maximillian Machumu: Mkataba wa Bandari tunasema HAPANA

    Fallacy ndo kitu gani aisee? Tusaidie tuijue usije hata wewe ukawa umefanya fallacy bila kujua.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kuna mstaafu mmoja wanajaribu kumpa majukwaa ili atengeneze mvuto lakini wapi, raia hawamuelewi hata kidogo

    Na tuliyenae kwa sasa anadhani na kuamini kabisa kuwa; kama mstaafu alipitisha kisirisiri, kinyemelanyemela janjajanja zake kwa watanzania - richmond, escrow, n.k. - iweje yeye ishindikane kwa yanayofanana na hayo?.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kumekucha: Balozi Dkt. Slaa na wenzake kuwasha Moto Temeke Jumapili 23/07/23

    Mkutano hauna tatizo na yeye kukosa mgao, bali aina ya mkataba.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kikwete: Rais Samia ni kiongozi asiye na papara na ni mtulivu

    Si kwamba nyoka wameanza kutoka pangoni polepole
  15. M

    JamiiForums Tanzania Dkt Slaa atoa wito kwa Viongozi wa dini zote na madhehebu yote na wananchi wote kwa ujumla kuhudhuria mkutano mkubwa wa kujadili hatma ya bandari zetu

    Wewe mleta uzi; mbona hatutajiuliza na wala kukuuliza ni kwa nini sasa hivi hunyonyi, hutambai, wakati uliwahi kunyonya na kutambaa hapo nyuma? Au mbona una nafasi (hatuijui ) fulani sasa wakati labda uliwahi kuwa darasa la kwanza miaka fulani nyuma. Iweje hukubakia anayenyonya, anayetambaa na...
Back
Top Bottom