Kweli hapa duniani kuna maajabu sana wadau
Hivi kweli inawezekana kabisa mtu akawa anapenda kusikia zile sauti za watu wakiwa wanafanya mapenzi?
Yaani jamaa yeye ndio starehe yake, akisikia sauti za mwanamke anapelekewa moto eti yeye ndo anaenjoy kweli??
Tena anasema kabisa zile kelele...
Mkuu mie sinaga genye mshindo kiasi icho
Starehe yangu ya usiku ni kupombeka na kusmoke bhaaasi, mziki sipendi kucheza ila napenda kuangalia wanaocheza
genye zilinipanda kwakua nilishuhudia tukio ilo la ajabu kwa mara ya kwanza na walipitiliza mnooo, yale mambo walitakiwa wafanye chumbani uko...
Nilipata hasira sana kuona kile kitendo wanachomfanyia yule mke wa mtu
Na naimani kabisa yule mwanamke alikua kalewa kiasi cha kutojielewa,maana hata kama angekua malaya wa kujiuza uwa hasingekubali kufanyiwa vile,majamaa wa hennesy wali take advantage ya demu kulewa
Ndo nikaamua kwenda...
Ni mkewe aiseee, picha ya pamoja kwenye vazi la kiharusi niliiona kwenye simu ya mwanamke pale counter
Angekua malaya wala nisingehangaika kuleta uzi humu maana malaya ndo kazi zao izo
Naamini kabisa yule ni mkewe ndomana lile tukio lilinishangaza sana mpaka nikaaamua kufungua uzi
Kwnenye kuvaa naweza nisimlaumu sana maaana ni mavazi ya kawaida kwenye kumbi za starehe tena night kali
Apo kwenye mume kuzima kwa ajili ya pombe ndipo namlaumu jamaa,hakutakiwa anywe mpaka azime
Cha ajabu zaidi,hata kabla hajazima kwa ajili ya pombe,alianza kucheza na mkewe yeye kambambia...
Nilikua counter na mshkaji wangu, jamaa akaja na demu wake wakajoin counter
Ndipo nilipowaona wote wamevaa pete za ndoa na screen saver ya simu ya demu amesave picha ya pamoja akiwa na mshkaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.