Hapa Tanzania, kuwa huru kutoka makucha ya CCM ni mpaka hapo vyombo vya ulinzi na usalama vitakapogawanyika (kwamba, wengine waiunge mkono CCM, na wengine zaidi ya nusu waseme kuilinda CCM, nooo! Hata raia wazalendo ndani ya nchi, hata na nusu ya CCM au zaidi ya moja ya tatu, wote kwa pamoja...