Recent content by Mkwaruzo

  1. Mkwaruzo

    Milio ya kuruwani kwenye simu marufuku

    Ww inabidi ukae kimya maana hata kuitaja hujuwi, utajuwa yaliyokuwemo ndani yake? Na kinachomata ktk pesa ni kuwa umeipataje na utaitumiaje, na si vyenginevyo. Hapakuwa na ubaya kupokea pesa ya Lowasa. Ubaya ni kumshirikisha ktk yale mengine.
  2. Mkwaruzo

    Milio ya kuruwani kwenye simu marufuku

    Umpa sehemu nzuri ya kwenda kuangalia maana Biblia ya kiarabu imekuwepo mwanzo kuliko hii ya kiswahili.
  3. Mkwaruzo

    Milio ya kuruwani kwenye simu marufuku

    Mfano mzuri upo hapa karibu na ni Zanzibar ambapo hupiga marufuku mambo fulani ktk siku za mwezi mtukufu wa Ramadhaan. Sasa ww nenda kule ufanye yale ambayo ktk dini yako ni sawa ila wao wameyakataza uone sababu yako itakuwa na uzito! Then kwanini uweke Qur-ani wakati haikuhusu?
  4. Mkwaruzo

    Milio ya kuruwani kwenye simu marufuku

    Sawa ni haramu, ila siyo mufti aliyeharamisha. Mufti katoa fat-wa tu kutokana na hoja na dalili zinazoonesha uharamu wake.
  5. Mkwaruzo

    Baadhi ya wabunge wa CUF na NCCR wagoma kupewa uwaziri kivuli na CHADEMA

    Kumbe sera za kuwagawa zinaendelea! Na sijuwi ni shs ngapi unapewa kwa kazi hii
  6. Mkwaruzo

    Hivi ni kwa nini wanawake wengi warembo hupendelea kutoka kimapenzi na wanaume wanaofanya kazi bank?

    Jamani, siyo benki zote lkn kwasababu siye tunafanya kazi ktk benki za damu ila hatupendwi
  7. Mkwaruzo

    Yaliyojiri: Mjadala wa Rasimu ya Katiba Mpya - Tanzania tunayoitaka

    Lakini kuhudumia serikali 2 zilizo na mawaziri takriban100 siyo mzigo kwa tafaifa. Na wala misamaha ya kodi siyo mzigo kwa taifa? Si ndiyo au! Ila walalahoi ktk serikali hii hata sim card tunailipia kodi
  8. Mkwaruzo

    Yaliyojiri: Mjadala wa Rasimu ya Katiba Mpya - Tanzania tunayoitaka

    Hata akishuka malaika kutoka mbinguni kuja kuwaelewesha, HAMTAELEWA.
  9. Mkwaruzo

    Yaliyojiri: Mjadala wa Rasimu ya Katiba Mpya - Tanzania tunayoitaka

    Yani siyo kilicho na faida kwa ccm kitakuwa na faida kwa cuf na Wazanzibari na pia kilicho na faida kwa cuf siyo kitakuwa na faida kwa ccm na kwa Wazanzibar kwa ujumla wao.
  10. Mkwaruzo

    Yaliyojiri: Mjadala wa Rasimu ya Katiba Mpya - Tanzania tunayoitaka

    Juma Duni: Kilicho na faida kwa Zanzibar ndiyo kilicho na faida kwa CCM na CUF na pia ndicho kilicho na faida kwa Wazanzibari
  11. Mkwaruzo

    Yaliyojiri: Mjadala wa Rasimu ya Katiba Mpya - Tanzania tunayoitaka

    Awadh anatuletea pumba tu (hadi hapa anatuanzishia vurugu)
  12. Mkwaruzo

    Yaliyojiri: Mjadala wa Rasimu ya Katiba Mpya - Tanzania tunayoitaka

    Polepole: Ukawa hawalazimishwi kurudi bungeni
  13. Mkwaruzo

    Yaliyojiri: Mjadala wa Rasimu ya Katiba Mpya - Tanzania tunayoitaka

    Eti walidai takwimu za mapendezo ya baraza, lkn sheria inasema tume ipeleke rasimu bungeni na siyo na takwimu za mapendekezo kwasababu isingewezekana kutokana na wingi wa mabaraza yenyewe
  14. Mkwaruzo

    Yaliyojiri: Mjadala wa Rasimu ya Katiba Mpya - Tanzania tunayoitaka

    Tufanye nini? Kama vipi iletwe rasimu tuipigie kura kama ilivyo.
Back
Top Bottom