1. Watumishi wadai Hela ya Likizo Zao tangu 2024.
Ujio wa Mhe Waziri Mkuu,watumishi waliambiwa wapeleke Vendor form na Bank statement tayali kwa kulipwa
Kama hawakulipwa kihalali na Serikali inajua ( maana Waziri Mkuu ndiye alikuwa Waziri wa Fedha),Kwa nini mlimhadaa kwamba Halmashauri...
Huenda tatizo lipo kweli lakini Mtoa hoja hajaeleza kwa undani shida ni Nini hadi watoto wapigwe kama ng'ombe?
1.Malalamiko mengi kwa shule za serikali husasani Ilemela ni adhabu kwa watoto wanaoshindwa kuchangia michango Lukuki mashuleni
A. Kuna michango ya Remedial program hasa vidato vya...
Moderator Nisaidie kuliweka kwenye jukwaa la habari mchanganyiko ndugu,Nina shida na hela na sijui napata wapi wakala,hapa nilipo nimezunguka sana bila mafanikio
Barua haitaja sababu za kuhamishwa,na hizo barua za kuchagua kituo kwa wote 7 hakuna aliyeomba KUHAMA.
Moja ya jitihada zilizofanyika leo kwenda ofisi ya utumishi kuomba ufafanuzi, hawana jibu na Kaimu Mkurugenzi aliyesaini hizi barua hakujua scenerial,na ameshauri waliporipot kituoni na wàndike...
Watumishi wamehamishwa kutoka kituo A cha kazi kwenda vituo vingine bila malipo, ingawa agizo la uhamisho lilitolewa na kamati maalumu ya ukaguzi.
Mkuu wa idara, akionyesha nia njema, aliwaita ofisini ili kila mmoja achague kituo cha kazi kwa maandishi.
Hata hivyo, amezitumia barua za...
Naomba ufafanuzi tafadhali
Kuna Hali imetokea kwenye shule A,mwalimu aliwasilisha maoni yake kwa Afisa Elimu wake kwa nini matokeo ya shule hiyo A ni mabaya( ya mwisho mkoa kila mwaka) na akatoa na ushauri wa nini kifanyike
Bahati mbaya kwa yule mwalimu,ile message iliyotumwa kwa Afisa Elimu...
Nchi haijatulia,sema uoga wa kuhoji umeongeza sana
Kwa jicho la kiroho,kuna kizazi hiki Cha 2000 hiki kitakuja kuleta mageuzi barabarani,Hawa ambao wanasoma tu lakini hawana uhakika wa ajira,Hawa wanaopelekwa JKT baadae wanaachwa mitaani bila ajira
Kwa kifupi 2025 hata akishinda lakini Nina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.