Recent content by Mkwanga

  1. Mkwanga

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    [emoji91][emoji120][emoji120]
  2. Mkwanga

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mm pia nmecashout buku 5 kwa laki na 30 sio mbaya
  3. Mkwanga

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Princebet pia wana hiyo option
  4. Mkwanga

    Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

    Inakuwaje...?
  5. Mkwanga

    Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

    Hivi usalama wakutaka kuchukua mtu inakuwaje kuna jamaa yangu moja ni mtumishi wa taasisi fulani watu wake wa karibu walishauliziwa sana kuhusu yeye tabia zake na hao watu wake wakaribu wengine walishapewa na maform ya kujaza ndo wanataka kumchukua au inakuwaje..?
  6. Mkwanga

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kabla sijaulipia nan atazingua hapo tuweke sawa
  7. Mkwanga

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wadau msaada wa namba ya simu huduma kwa wateja premier betting nmedeposit mpaka sasa hajafika
  8. Mkwanga

    Wakuu, njoo tujielimishe kuhusu hisa za Vodacom

    tutajua kama kampuni imepata faida au hasara je watatushurikisha katika kufunga hesabu za mwaka kujua kama imepata faida au hasara
  9. Mkwanga

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    wadau jinsi ya kuweka hela premier bet
Back
Top Bottom