Hivi usalama wakutaka kuchukua mtu inakuwaje kuna jamaa yangu moja ni mtumishi wa taasisi fulani watu wake wa karibu walishauliziwa sana kuhusu yeye tabia zake na hao watu wake wakaribu wengine walishapewa na maform ya kujaza ndo wanataka kumchukua au inakuwaje..?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.