Recent content by Mkusa

  1. Mkusa

    Tribute to Silent Heroes!. Hongera “Idara” Kuhudumia Wastaafu Wake Till Death!”. Jee Huu Sio Ubaguzi?. Why Only Some are Cared to Death but not All?!

    Mkuu,.Pole Kwa Kuondokewa na Mama Nauliza, hii ya 80% benefit umekuja kuijua baada ya Msiba wa Mama au Kabla, ukinijibu ntakuuulliza tena
  2. Mkusa

    Chini ya DC Jerry Muro, Ikungi kazi inaendelea

    Siku hizi hajichetui kama ilivyokuwa enzi za Mwendakuzimu
  3. Mkusa

    Waliomfitini Dr Mwele kwa Magufuli, wanajisikiaje?

    Roho Mbaya ya Mwendakuzimu tu ndio lisababisha Dr Mwele afukuzwe kazi
  4. Mkusa

    Madereva 21 kutoka Kenya na 1 kutoka Uganda wakutwa na COVID19 baada ya kupimwa na Tanzania mpakani Namanga, Arusha

    Wameiga wenzetu Kenya wanavyofanya Which is good By the way,wa Kenya hawajalalamika juu utaratibu,ni Mzuri Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Mkusa

    Dkt. Mahiga alifanyaje hadi kuwa DG wa TISS akiwa na miaka 35?

    Mkuu Kuna hii ya Dr Mahiga kupitia Jeshini Hadi kufikia ngazi ya Kanali Ni hadithi tu za watu ama ? Sijaisoma popote Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Mkusa

    Dkt. Mahiga alifanyaje hadi kuwa DG wa TISS akiwa na miaka 35?

    Ukisikia mtu anatumia neno "Unaambiwa" ujue ni mtu wa kuokoteza story za Vijiweni Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Mkusa

    GE2020 CCM wajipanga kumng'oa Halima Mdee Jimbo la Kawe

    Kwa ticket ya CDM,CCM au APP Maendeleo ? MAYALLA KWETU NI NJAA Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Mkusa

    Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

    Mkuu,hebu tudokezee kidogo Movie la Lissu Dom lilivyochezwa. NB Hili unaweza kutumia Fake ID kuelezea No hilo tu Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Mkusa

    Polisi wafanya doria Sinza kuzuia maombezi, WanaCHADEMA wawili washikiliwa

    BAVICHA wamekosea sana,haya maombi walitakiwa wayapangie Goba,kule kuna ujambazi sana,nadhan wakazi wa Goba tungelala kwa amani maana Polisi wangepiga doria usiku kucha
  10. Mkusa

    Ni ukomo wa bunge sio urais, BAVICHA na UVCCM tuwe na akiba ya maneno

    Kwa hiyo unadhan ukomo wa ubunge na u raisi kuwa miaka mitano (kwa Tanzania),tena sambamba unadhan ni bahati mbaya ? Go back to Your form 11 CIVICS...
  11. Mkusa

    Mustakabali wa usalama wa Tundu Lissu

    Usiku wa kuamkia Leo Kibabu cha USA kimekukamatia vyema. Naona akili zako zimerudi
  12. Mkusa

    Kupatwa kwa Jua: Sayansi imethibitisha Mungu hayupo

    Mkuu kama Viongozi wa dini wamefanikiwa kukujaza hofu bado hauwakubali ? Hiyo hofu imetokana na nini ? Pia kumbuka kuwa dini ni Suala la imani n wala sio la ki Sayansi useme uingie Lab ufanye Majaribio. Hebu jiulize ukifa uanenda wapi ?
  13. Mkusa

    CP Simon Sirro Please take Note : Kushamiri kwa Mtukio ya Uhalifu Kata ya Goba

    Mods mnaeza Saidia kuiweka kwenye appropriate forum
Back
Top Bottom