Mkuu
Kuna hii ya Dr Mahiga kupitia Jeshini Hadi kufikia ngazi ya Kanali
Ni hadithi tu za watu ama ?
Sijaisoma popote
Sent using Jamii Forums mobile app
BAVICHA wamekosea sana,haya maombi walitakiwa wayapangie Goba,kule kuna ujambazi sana,nadhan wakazi wa Goba tungelala kwa amani maana Polisi wangepiga doria usiku kucha
Mkuu kama Viongozi wa dini wamefanikiwa kukujaza hofu bado hauwakubali ?
Hiyo hofu imetokana na nini ?
Pia kumbuka kuwa dini ni Suala la imani n wala sio la ki Sayansi useme uingie Lab ufanye Majaribio.
Hebu jiulize ukifa uanenda wapi ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.