Recent content by Mkusa

  1. Mkusa

    JamiiForums Tanzania Tribute to Silent Heroes & Heroines: Hongera “Idara” Kuhudumia Wastaafu Wake Till D-Day!”. Je Huu Sio Ubaguzi?!. Why Only Some but not All of Them?!

    Mkuu,.Pole Kwa Kuondokewa na Mama Nauliza, hii ya 80% benefit umekuja kuijua baada ya Msiba wa Mama au Kabla, ukinijibu ntakuuulliza tena
  2. Mkusa

    JamiiForums Tanzania Chini ya DC Jerry Muro, Ikungi kazi inaendelea

    Siku hizi hajichetui kama ilivyokuwa enzi za Mwendakuzimu
  3. Mkusa

    JamiiForums Tanzania Waliomfitini Dr Mwele kwa Magufuli, wanajisikiaje?

    Roho Mbaya ya Mwendakuzimu tu ndio lisababisha Dr Mwele afukuzwe kazi
  4. Mkusa

    JamiiForums Tanzania Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19

    Wa Brazil wanajitambua sana
  5. Mkusa

    JamiiForums Tanzania Madereva 21 kutoka Kenya na 1 kutoka Uganda wakutwa na COVID19 baada ya kupimwa na Tanzania mpakani Namanga, Arusha

    Wameiga wenzetu Kenya wanavyofanya Which is good By the way,wa Kenya hawajalalamika juu utaratibu,ni Mzuri Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Mkusa

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mahiga alifanyaje hadi kuwa DG wa TISS akiwa na miaka 35?

    Mkuu Kuna hii ya Dr Mahiga kupitia Jeshini Hadi kufikia ngazi ya Kanali Ni hadithi tu za watu ama ? Sijaisoma popote Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Mkusa

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mahiga alifanyaje hadi kuwa DG wa TISS akiwa na miaka 35?

    Ukisikia mtu anatumia neno "Unaambiwa" ujue ni mtu wa kuokoteza story za Vijiweni Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Mkusa

    JamiiForums Tanzania GE2020 CCM wajipanga kumng'oa Halima Mdee Jimbo la Kawe

    Kwa ticket ya CDM,CCM au APP Maendeleo ? MAYALLA KWETU NI NJAA Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Mkusa

    JamiiForums Tanzania Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

    Mkuu,hebu tudokezee kidogo Movie la Lissu Dom lilivyochezwa. NB Hili unaweza kutumia Fake ID kuelezea No hilo tu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Mkusa

    JamiiForums Tanzania Polisi wafanya doria Sinza kuzuia maombezi, WanaCHADEMA wawili washikiliwa

    BAVICHA wamekosea sana,haya maombi walitakiwa wayapangie Goba,kule kuna ujambazi sana,nadhan wakazi wa Goba tungelala kwa amani maana Polisi wangepiga doria usiku kucha
  11. Mkusa

    JamiiForums Tanzania Ni ukomo wa bunge sio urais, BAVICHA na UVCCM tuwe na akiba ya maneno

    Kwa hiyo unadhan ukomo wa ubunge na u raisi kuwa miaka mitano (kwa Tanzania),tena sambamba unadhan ni bahati mbaya ? Go back to Your form 11 CIVICS...
  12. Mkusa

    JamiiForums Tanzania Mustakabali wa usalama wa Tundu Lissu

    Usiku wa kuamkia Leo Kibabu cha USA kimekukamatia vyema. Naona akili zako zimerudi
  13. Mkusa

    JamiiForums Tanzania Kupatwa kwa Jua: Sayansi imethibitisha Mungu hayupo

    Mkuu kama Viongozi wa dini wamefanikiwa kukujaza hofu bado hauwakubali ? Hiyo hofu imetokana na nini ? Pia kumbuka kuwa dini ni Suala la imani n wala sio la ki Sayansi useme uingie Lab ufanye Majaribio. Hebu jiulize ukifa uanenda wapi ?
  14. Mkusa

    JamiiForums Tanzania CP Simon Sirro Please take Note : Kushamiri kwa Mtukio ya Uhalifu Kata ya Goba

    Mods mnaeza Saidia kuiweka kwenye appropriate forum
Back
Top Bottom