Ndo maana ya sheria mkuu, mshitaki ana haki na mshtakiwa nae ana haki ya kusikilizwa !
Haimaanishi kuwa mshitakiwa mtu anakua amepoteza haki zake ndo maana kuna room kama kupimwa magonjwa ya akili ili wajithibitishie !
Kweli mahakama zetu zinatumia muda mrefu kwenye kesi ! Lakini pia lazima...
Nimewasiliana nao wakasema shida
Asante mkuu , niliwasiliana na uongozi wa chuo mwanzo wakawa wanakataa ila baada ya muda wakakubali kwamba shida iko hapo hapo chuoni maana waliangalia matokeo ya watu tofauti tofauti wakakuta ni tofauti kweli ! Wao wanasema "mfumo umecheza" hivyo watawaandikia...
Habari wadau changamoto niliyonayo ni Matokeo ya Award Verfication Number (AVN) hayaendani na matokeo yaliyo kwenye Transcript kwenye transcript nina GPA ya 3.8 lakini kwenye AVN matokeo yangu yanaonesha nina GPA ya 2.7 na
Sina sup yeyote
Naomba kusaidiwa ili niweze kufanya application
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.