Suku mkiacha wogo kama wakenya ndo nchi utabadilika. Sasa unaandika kana kwamba una uchungu lakini siku maandamano yakitanganzwa unajificha as if kila kitu kiko shwari kabisa. Kenya huwezi fanya upumbavu kama huu kama rais hajaonja joto la jiwe.
Kwa takwimu zipi. Mbona hajaambaranisha na descriptive statistics yoyote kusapoti argument yoyote. Je mwingine angesema watu 2 kati ya 100. Shida yule ni prof hapaswi kuongea kama layman. Ndo mana schorlary Huwa Huwa tunaandika "according to..........."
Hivi Profesa mzima unasema eti kati ya watu 100 ni wat 5 tu wanaoajiriwa na serikali. Haya yalipaswa kuongewa kweli na profesa mwenye kujua kufanya utafiti japo tafiti zetu ni ungo?
Sasa kama unaweza kudeclare hivyo kwanini mnawakamata machanguduo wakati mnadeclare kuwa serikali imeelemewa...
Mnalazimisha tu. Chama kimeshajiishia mnalazimisha eti kipendwe. Hata aje yesu chama kimeshaisha ndo mana hata jpm alilijua Hilo akaamuru wakarigenzi watangaze hivyohivyo wabunge bila hata kushinda kwa kuwapiga biti Kali kwamba yeye ndo anawawekea mafuta kwenye magari. Ndo mana ukisoma tune huru...
Mazuri yake ni kuwatangaza wagombea wa ccm kwa nguvu bila kushinda na kulijaza bunge na maccm tu. Kila mbunge wa ccm anamkimbuka kwa sababu aliamsaidia kupata kitu bila hata kushinda. Cc. Gwajima, mkumbu nk
Ataonekana kama anapendwa au la kwenye sanduku la kura. Lakini jpm yeye hakutaka hata ushindani na mtu yeyote ndo mana siasa zikazuiwa akabaki anapiga siasa peke yake
Jpm alikuwa too much. Kila kitu kilikuwa vururuvuru mpka tukahisi tuko motoni tayari wakati Bado. Samia anatumia akili sana. Sema imetupa funzo sana kuwa mwalimu kamwe Hana uwezo wa kuongoza. Ndo mana wanaofeli ndo hueomea ualimu na Hilo alilidhihirish ajpm kwamba walimu uwezo wao Huwa ni mdogo
Umeongea Nini Sasa. We hujui kama jpm aliminya siasa zisifanyike abaki anafanya siasa peke yake. Ukitaka ujue kama unapendwa ruhusu na wengine wafanye siasa siyo unafanya peke yako halafu unajidai ccm inspendwa. Kwa Sasa mama anaweza kujijaji kwa sababu siasa zinafanyika pande zote na haogopi...
Sema magufuli aliilinda ccm kwa mtutu wa bunduki yeyote anayeichukui anakula chuma/Shaba. Kipindi chake ndo watu waliichukia ccm haswaaa lakini ikionekana hadharani tu ama unapewa kesi ya ugaidi au unauawa. Wabunge wa chadema wakatishwa wengi na wafanyabiashara wakafilisiwa ndo wakaanza kuunga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.