Ndiyo ukweli huo watu wengi wa kutoka kanda ya ziwa hawajui kusoma hata kuandika kwao ni shida sana. Aisee sijui wana shida gani hawa yaani wasukuma kwao elimu sio kipaumbele kabisa yaani kuna idadi kubwa ya watu kutotaka kusoma kabisa jambo linapelekea familia nyingi kubakia kwenye umasikini.
Hawa watu kutoka kanda ya ziwa ni wakatili sana hasa hasa wanawake yaani ukitaka kuona dunia chungu au ndoa ni chungu oa mwanamke kutokea kanda ya ziwa aisee mimi niliona cha mtema kuni nusura aniue kisa mali tu ambazo yeye amenikutana nazo aisee kwanza hawa wanawake toka kanda ya ziwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.