Hakuna mjinga anayegoma bila 7bu, lazima kuna kitu hakiendi sawa pale. Hilo la maji litakuwa ni chambo tu. Wasiishie kuwafukuza ila wachunguze mzizi wa vurugu!
Watatoa lini sasa na ukikumbuka bodi ya mikopo sisi haitujui sasa wakichelewa kutoa tutajpanga saa ngapi. Na unaweza kopa mkwanja kumbe chuo hujapata sasa si majanga haya jaman NACTE!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.