Mjimushileee....!!
Ilikuwa maisha ya chuo yaani maswala ya kuishi geto la kupanga uswahilini. Nyumba niliyokuwa nimepanga kulikuwa na nyumba kubwa ambayo akiishi baba mwenye nyumba na familia yake pamoja na baadhi ya wapangaji, na nyumba ndogo ya uwani ambyo iliweza ku accommodate watu 3. mimi...
Ilishawahi kunitokea japokuwa Mimi ilikuwa kazini. Yaani huyo mke wa mtu anaishi jirani na kazini na akawa na kawaida ya kuja kuomba atolewe copy kutokana na shughuli zake. Mimi ndo nahusika sana na maswala ya stationery hivyo tukawa tunakutana Sana.
Basi ghafla naona anaanza text za mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.