Recent content by mkumbo shamama

  1. M

    Nimeumizwa sana na Dr. Slaa

    ni kwel michael...slaa amuachie LOWASA kwasasa coz he iz on fire....watanzania wapo tayar kumuunga mkono
  2. M

    Trafiki wanapangiwa hesabu na wakubwa zao

    yah ni kwel ila ndo mfumo wenyewe coz ili ata sirikal wanalijua c wana usalama wa taifa....lkn inabid wanyamaze coz mara nying huwatumia hawa jamaa kwa mambo ya uonevu(kipigo bila hatia )
  3. M

    CCM tubuni dhambi zenu ili angalau mbakiziwe majimbo 20 mwaka huu wa uchaguzi 2015

    ingekuwa nakufaham ningepinga nyumba yangu na wewe kukuonyesha kuwa CCM ni chama kizur tu ila baadh ya watu kwa tamaa zao wenyewe wanaiba fedha za wananchi.....lkn ccm itaongza tena vitvya ubunge
  4. M

    Ni kweli Lowasa anatoa Rushwa au anasaidia

    Lowasa hatoi rushwa bali anawadhihirishia wananchi kuwa ana uwezo wakwake kabla ata ya kwenda ikulu....by da way huyu jamaa ana utajir alorith toka kweny familia so tusifikir vibaya.....HILI NDO TUMAINI LA WATANZANIA
  5. M

    Urais 2015: Utapeli mkubwa waibuka.Vijana wa Lowassa wavamia sekta binafsi

    nafikiri we uliyepost bado hujamfahamu vizur lowasa.....yule sio mtu wa kuishiwa hela ya kampeni.....LOWASAA NITUMAINI LA WATANZANIA
  6. M

    Hivi Lowassa hana washauri? Naona anapoteza muda na fedha zake bure!

    lowasa ni chaguo la watanzania na c chaguo la CCM....
Back
Top Bottom