Recent content by Mkumbizi

  1. Mkumbizi

    Kwa utamu huu wa punyeto wanaume kando

    Mhhh!!! Aiseeee. Miogo yetu itakosa kazi kwa mwendo huo.
  2. Mkumbizi

    Book reading: Unasoma au Umesoma kitabu gani ungependa wengine wakisome?

    Sina kitabu niachosoma zaidi ya Biblia Takatifu.
  3. Mkumbizi

    Ushauri kwa TCU na NACTE

    Sio sababu ya msingi,jitahidi kufikiri kijana.
  4. Mkumbizi

    Ushauri kwa TCU na NACTE

    Nacte wasifanye udahili kabisaa maana tuliomba mwezi machi ambapo f6 hata mock hawajaanza lakini leo selection tayari zishatoka,but nacte hawaeleweki sijui shida inakuwa nini? Sijui uwezo mdogo? Waziri haoni hayo?
  5. Mkumbizi

    Udahili wa awamu ya pili kidato cha 6 umefungwa sasa

    Kwahiyo umesikia na jamaa wa mwanza,akili yako inakutosha kweli??
  6. Mkumbizi

    Leo ndio siku ya mwisho ya second round!

    Wengine wamezoea fb wanafikikiri na huku kama fb,jaribu kufafanua ili ueleweke.
  7. Mkumbizi

    Nina wasiwasi na NACTE

    NAFIKIRI NACTE WAMESHINDWA KUFANYA KAZI YA UDAHILI WA WANAFUNZI,KWASABABU NILIOMBA TOKA MWEZI MACHI MPAKA SASA HAKUNA JAMBO LOLOTE LILILOFANYIKA WANA KERA SANA KWAKWELI.
  8. Mkumbizi

    Diploma holders mkosi gan huu tulionao jaman?

    Acha tu mkuu Mungu anaona tuu.
  9. Mkumbizi

    Hivi kwanini baadhi ya wanaume hampendi kufua boxer zenu?

    Wewe umeziona boxer za wanaume wangapi?acha uzinzi wewe mwanamke Mungu anakuona tuu.
  10. Mkumbizi

    Msaada: Utaratibu wa maombi kwa diploma holders tuliokwishaomba kupitia NACTE

    Unaruhusiwa kuedit Mimi mwenyewe nimeingilia TCU kwa kutumia password na username ya nacte nikafanya yangu,kumbuka wakati wa Maombi ya awali kulikuwa hakuna universities sasahivi vipo unaweza rekebisha utakavyo.
  11. Mkumbizi

    Waliokua wameomba vyuo kupitia NACTE sasa rasmi muombe kupitia TCU kwa gharama mpya

    Wewe umetoa wapi maelekezo hayo wakati NACTE wamesema kupitia tanazo lao www.nacte.tz.org kuwa mazungumzo yanaendelea ili waruhusiwe kudahili wanafunzi kulinganga na sifa zinazotakiwa na serikali. Usipotoshe watu.
Back
Top Bottom