Nacte wasifanye udahili kabisaa maana tuliomba mwezi machi ambapo f6 hata mock hawajaanza lakini leo selection tayari zishatoka,but nacte hawaeleweki sijui shida inakuwa nini? Sijui uwezo mdogo?
Waziri haoni hayo?
NAFIKIRI NACTE WAMESHINDWA KUFANYA KAZI YA UDAHILI WA WANAFUNZI,KWASABABU NILIOMBA TOKA MWEZI MACHI MPAKA SASA HAKUNA JAMBO LOLOTE LILILOFANYIKA WANA KERA SANA KWAKWELI.
Unaruhusiwa kuedit Mimi mwenyewe nimeingilia TCU kwa kutumia password na username ya nacte nikafanya yangu,kumbuka wakati wa Maombi ya awali kulikuwa hakuna universities sasahivi vipo unaweza rekebisha utakavyo.
Wewe umetoa wapi maelekezo hayo wakati NACTE wamesema kupitia tanazo lao www.nacte.tz.org kuwa mazungumzo yanaendelea ili waruhusiwe kudahili wanafunzi kulinganga na sifa zinazotakiwa na serikali.
Usipotoshe watu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.