Sungura ni mnyama mla majani, wanyama wala majani ni wanyama wa gharama nafuu kufuga maana huweza kula vyakula ambavyo wanadamu na wanyama wenye mfanano na binadamu hawali. Vyakula kama majani au mabaki ya vyakula hupatikana kwa gharama nafuu.Hii kufanya ufugaji wa sungura kuwa wa gharama za...
Kuku Wa kabila la Dong tao ambao wanatambulika kwa kuwa na miguu minene ndiyo kuku ghali zaidi duniani.Kuku hawa huuzwa kwa bei hadi kufikia dola za marekani 2000.
Wanapatikana kwa wingi nchini Vietnam. Awali kuku hawa, walitumika kama mapambo katika nyumba za kifalme, sasa hivi...
SIAGI YA KARANGA (Groundnut butter/Peanut butter🔥🔥
1kg ya Karanga hutoa 900g ya (siagi) butter. Katika masoko ya ndani, 1kg ya butter ni tsh 6500_7500/=
Gharama za uzalishaji
Karanga: tsh 2000 -2500 Tuch. Max. Tsh 2500
Vifungashio , lebo na lakiri: 1000 per 1 kg
Umeme: 100 per 1kg...
Fahamu haya:
Gharama za ufugaji ni kwa ajili ya;
1: Ujenzi wa mabanda
2: Kununua mbuzi wazazi
4:Gharama cha chakula
5: Gharama za chanjo na madawa
6: Gharama za ulinzi na wafanyakazi
7: Gharama za usafiri
Mapato ya biashara ya ufugaji mbuzi hutokana na;
1: Kuuza Watoto
2: Kuuza mbuzi jike
3...
Fursa ya Ufugaji wa Ng'ombe wa maziwa ni kubwa sana nchini.Kwa wastani Tanzania huzalisha maziwa lita bilion 3 kwa mwaka huku karibu lita bilioni 1 pekee hutokana na ng'ombe wa kisasa. Hata hivyo mahitaji ya maziwa ni makubwa sana (zaidi ya lita bilioni 10), japo logistics mbaya za uhifadhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.