Tatizo la nchi yangu hii kila mmoja ni msemaji wa serikali.
Hili tatizo lipo na kila tunapolizungumzia tunalipa nguvu ya kukuwa kwa kasi mwisho wa siku hata hawa watotozetu watazoea kusikia mwishowe linakuwa jambo la kawaida na ndipo kili mmoja anaanza kushiriki ni kama ukimwi ulivyo kuwa...
Mimi mwenyewe natengeneza chaki za kufundishia mashuleni na ninaziuza nmeanzisha kiwanda changu kidogo but by profession nmesomea Mambo ya kilimo na mifugo nna certificate na Sasa siitaji hizo ajira zenu labda mm niwaajili vijana wenzangu but siajiri wenye elimu
But wanaohitaji chaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.