Paskali,
Ulichonena yawezekana kina ukweli ndani yake. Ila nionavyo mimi, mchonga kinyago inabidi aendelee kubaki huko huko kwa sasa, muda muafaka wa kuachia jimbo lile ni 2019. Kwa sasa ajikite kwenye maendeleo ya jimbo na \upishi wa kisiasa/*political cooking
Akibaki ccm ataweza kuusoma...
"legitimacy" is often positively interpreted as the normative status conferred by a governed people upon their governors' institutions, offices, and actions, based upon the belief that their government's actions are appropriate uses of power by a legally constituted government.
Once citizens...
Alishindwa nyerere kuwa diktekta wa nchi hii, hakika Magufuli hatoweza. Mzee amesahahu kwamba anaongoza watu na sio mbuzi.
Nape hajatumbuliwa, bali amelipisha gari la mavi lipite. Siasa za kusini mwa Tanzania.
Staha ipi unayotaka niwe nayo? ukweli ni kwamba rioba kamkimbia mtoto wake,,mama aliyezaa naye analalamika,,,sisi tunamfariji...halafu sikia we mbwa...huna chochote unachoweza kunifanya mimi? hata wewe kama umtimizii mkeo na kibamia chako,,tupo mafundi tutamfariji.
koma kabisa kunitisha mbwa...
Bwana huyu hajawai kuuza hata pipi mtaani. Inshort ni mtupu kimaarifa ya kibiashara..thesis yake ya udocta ilihusu demokrasia..wapi amewahi kupata mafunzo ya kuendesha a public broadcasting institution...magufuli alichemka mno
Hajui lolote kuhusu public broadcasting...magufuli si anaangalia vyeti. Ni kweli jamaa ryoba is bright.dissertation yake ya udocta hii hapa. ayoub ryoba dissertation - Google-haku
Bahati mbaya au nzuri...bwana ayoub ryoba hana mtoto Tanzania. Anaye mtoto mmoja Denmark alupoenda kusoma degree lakini hajamkubali wala kumtunza huyo mtoto..sasa hivi ana miaka 15..tupo na mama yake huku tunamla kweli sababu anapenda naniiii zetu.kwa kifupi ryoba ni fala hasiye na ujuzi wowote...
Tcra wana mambo ya msingi ya kufanya mzee. Huu upuuzi wa ben hauna mashiko. Jamaa kajificha..au labda kalamba sumu ile aliyotaka kumywesha zitto.usicheze na waha wewe..si mliambiwa hata sisimizi hatapona
Wanajamvii..
Nini maoni yako kuhusu bwana ryoba aliyeamua kujivua ufahamu..weledi na hata elimu yake ili kumfurahisha mzee magufuli. Ni sawa wasomi wetu kujitoa ufahamu namna hii?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.