Recent content by Mkonowatembo

  1. Mkonowatembo

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Wanaokaa vikao kwamba huyu tumfanyeje, niwaambie hamnifanyi kitu. Utotoni nishahangaika na simba na chui na hawakunifanya kitu

    hii ngoma naona kama anaicheza pekee yake sijui kama ataiweza maana sioni kama rais anamsapoti kivile sana
  2. Mkonowatembo

    JamiiForums Tanzania Mungu alisema Binadamu hawezi kumuona na akaishi ili hali Musa aliongea nae uso kwa uso je nani mkweli?

    jib jibu swali musa alimwona Mungu uso wake au hakumwona
  3. Mkonowatembo

    JamiiForums Tanzania Israel ina nini tusichokuwa nacho hata watuzidi katika kilimo?

    Akili tunazo sana sema tu mazingira tuliolelewa nayo sasa mchukue mtoto wa mwaka mmoja aende alkaishi israeli mpaka miaka 40 hivi hawezi kuwa na tabia za kingoni akija tz baada ya miaka 40 stationary sisi hatuna akili uchumi tunazo fursa tunazo lakini tumezikazia tu
  4. Mkonowatembo

    JamiiForums Tanzania Ndugu zako wanavyo kutreat ukiwa huna pesa ndivyo watavyo watreat watoto wako siku utakapofariki, Jenga nyumba na uwaandalie future watoto wako

    Nyumba ni kwangu wao watafute za kwao Watson na kuolewa hizi nyumba buza kwetu minima mama yao
  5. Mkonowatembo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Barua rasmi ya Tundu Lissu kwa Watanzania kutoka gerezani Ukonga

    Kwa africa mfungwa kuto kula nahisi linaweza kuwa jambo la kawaida lakini ngoja ajaribu lina weza kushinikiza kupata mambo fulani fulani
  6. Mkonowatembo

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu ni Simba. Samia alikiri hili jambo yeye mwenyewe. Na yeye ni Chura Kiziwi

    LISU yuko mahabusu lakini jumanne au jumatano 15au16 atatolewa bila mashart tutaambiwa serikali haina haja ya ku endelea na kesi. Lisu Au samia 2025 hawawezi kushika urais. Utabiri wangu
  7. Mkonowatembo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Umoja wa Demokrasia wa Afrika: Tunatoa wito Tundu Lissu aachiwe, Umoja wa Afrika na SADC ingilieni

    Natabilri 2025 Uchaguzi nafsi ya urais tutapiga mara mbili maana mshindi atapata kura 39%tu
  8. Mkonowatembo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 John Mrema: Kampeni yetu ya tone tone mpaka sasa imefikisha shilingi ngapi? Viongozi hawana cha kusema

    Huyu naye naona **** hoja yake haina mashiko kabisa Lisu amepokea chama hakina hela kabisa ameanza na tone tone mipango kutafuta fedha inaendelea
  9. Mkonowatembo

    JamiiForums Tanzania John Mrema ni gwiji la siasa, John Mrema mmoja ni sawa na kujumlisha Lissu na Heche kwa pamoja, halafu hawafiki hata nusu

    Chadema ndo imemjenga mwambieni Shamir CCM uone kama atapata nafasi ya mwekiti wa kijiji
  10. Mkonowatembo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 BASATA & Tume ya uchaguzi zuia tapeli Msama na tamasha lake la kuombea uchaguzi

    Tuombee uchaguzi tu na tanganyika na Zanzibar sio kutaja majina ya jina samia kina mwinyi lkwenye tamasha
  11. Mkonowatembo

    JamiiForums Tanzania Bili yako ya maji mwezi Februari inaendana na uhalisia wa matumizi yako?

    Mimi sijatumia maji miezi mitatu site yangu lakini imekuja bili ya unit 4 hawa dawasa ni wezi sana
  12. Mkonowatembo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wilbroad Slaa: Hata CCM wanasema kuhusu No Reforms No Election kazaneni hapo hapo. Mliona kilichofanyika Dodoma, wamevunja sheria!

    Je wajumbe waliambiwa kuwa tunaenda kufanya uchaguzi wa mgombea wa Urais?
  13. Mkonowatembo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Maswali yangu kwa Wanaosema No Reform No Election haitafanikiwa

    Na makala cpa atatenguliwa kabla ya kufika mwezi wa sita
  14. Mkonowatembo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Maswali yangu kwa Wanaosema No Reform No Election haitafanikiwa

    Naona kama uchaguzi utasogezwa miezi sita mbele chadema shikilia hapo hapo mpaka kieleweke
Back
Top Bottom