Kuna mradi upo songea unahitaji mwekezaji jumla ya pesa inayohitajika ni 9.6m baada ya miezi 8 ya mradi utatengeneza faida ya 6m hivi mtaji wako na faida itakuwa ni 15.6m karibuni.
Vision fund inatambulika ni Microfinance kama sijakosea na wanashirikiana na World vision, ila hawa Vision loan fund Tanzania ni tofauti taarifa zao nje ya facebook hazipatikani tena kwa urahisi
Hii Kampuni inajihusisha na mikopo ya biashara, inafanya pia kazi online Tanzania kupitia huduma yao inaitwa Net Service. Yaani wanakupa mkopo sehemu yoyote Tanzania kupitia simu ya mkononi.
Naomba kujua kama kuna yeyote anawafahamu hawa watu Kwa undani na zilipo ofisi zao asante. Nitafurahi...
Hizi ni gharama ya uzalishaji kwa eka moja, maana yake ukiwa na ekari 10 gharama haiwezi kubaki vile vile utazidisha kulingana na ukubwa wa shamba lako, umezungumzia habari ya usafirishaji pembejeo hiyo ni ya ekari moja, ukilima zaidi unazidisha pia maana pembejeo za kusafirisha zinakuwa nyingi...
Usiamini kila andiko humu ndani ukadhani ni ukweli huwezi kuwekeza milioni mbili kwenye kilimo biashara cha mahindi utegemee milioni 30. Milioni mbili mbili haiwezi kulima zaidi ya ekari 4 endapo kama nguvu kazi ukafanya mwenyewe.
Mtu wa mkoa wowote anahudumiwa ila kazi yake ifanyike ndani ya mkoa wa Ruvuma -Songea kwa wale ambao hawapo Songea na hawana mashamba tunawawezesha kupata mashamba ya kukodi au kununua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.