Recent content by Mkomawatu

  1. Mkomawatu

    JamiiForums Tanzania Shekhe kundecha apongeza elimu ya dini katka mtaala mpya

    Haya Sasa kumeanza kuchangamka. Nchi ni ya wote. Maendeleo hayana vyama. Kazi na utu tusonge mbele.
  2. Mkomawatu

    JamiiForums Tanzania Leo ni leo asemaye kesho muongo. Polepole kuongea na Watanzania saa mbili kamili usiku! Usikose!

    hatuhofii vitisho vya mfamaji. Kazi na utu tunasonga mbele...
  3. Mkomawatu

    JamiiForums Tanzania CCM Kuna mpasuko mkubwa sana ndani, sasa mpasuko umeanza kionekana kwa nje

    Mimi na wenzangu wengine tumekubaliana tutampigia kura Rais Samia na Inshaallah atashinda. Hizo hazitutishi.
  4. Mkomawatu

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Dkt. Charles Kitima: Wameandikisha Watoto wa Shule ya Msingi na Sekondari kupiga Kura, mnawaharibu Watoto

    Mwendazake alilipopora chaguzi za 2019 na ule mkuu 2020 mbona Mapadri na Maaskofu hawakutoa tamko. Kwa sasa hivi wamwache mama ajenge nchi na 2025 anaingia awamu ya pili Mungu akipenda.
  5. Mkomawatu

    JamiiForums Tanzania Jifunzeni jinsi ya kuishi na 'Feminist' kwenye ndoa

    Dawa ni kuwazalisha na kuwaacha na upuuzi wa liomezeshwa na wazungu. Akishabakia Single mother ndio aanze kuzurura makanisa ya "kiboko ya wachawi" kusema ana mikosi.
  6. Mkomawatu

    JamiiForums Tanzania Maelfu ya Wananchi Wamiminika Katika Mapokezi Mazito ya Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi na CPA Amos Makala Mkoani Simiyu

    Nchimbi baba kanyaga twende tumechelewa Sana. Tunajivunia kuwa na Katibu mkuu mwenye hekima, mtulivu na mwenye maono. Zaidi ya yote ni Mwanadiplomasia mbobevu.
  7. Mkomawatu

    JamiiForums Tanzania Bashe: Rais hataki utani, amedhamiria kuleta mapinduzi ya kilimo kupitia umwagiliaji

    Hussein Bashe ni moja Mawaziri wanaoacha athari chanya kwenye sekta ya Kilimo. Muda ni mwalimu mzuri.
  8. Mkomawatu

    JamiiForums Tanzania Somo la History siku hizi limekuwa gumu au linakazwa ili kupunguza vijana kuendelea na kidato cha tano?

    Ni kweli ufaulu wa somo la History umeshuka sana.
  9. Mkomawatu

    JamiiForums Tanzania TANZIA Prof. Bakari Lembariti wa Chuo cha Muhimbili (MUHAS) afariki Dunia

    Naam ni moja ya Waislamu wachache waliofika ngazi kubwa ya elimu na uongozi katika vyuo vikuu nchini. INNALILLAH WAINNAILLAH RAJIUUN.
  10. Mkomawatu

    JamiiForums Tanzania CUF yazindua Kongamano la kudai Katiba mpya, yataka maoni ya wananchi kuheshimiwa

    Naunga mkono agenda yao ya kudai Katiba mpya na Time huru ya uchaguzi.
  11. Mkomawatu

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mama Mzazi wa MC Pilipili afariki Dunia kwa ajali

    Pole sana MC Pilipili na wafiwa wote.
Back
Top Bottom