Mwendazake alilipopora chaguzi za 2019 na ule mkuu 2020 mbona Mapadri na Maaskofu hawakutoa tamko. Kwa sasa hivi wamwache mama ajenge nchi na 2025 anaingia awamu ya pili Mungu akipenda.
Dawa ni kuwazalisha na kuwaacha na upuuzi wa liomezeshwa na wazungu. Akishabakia Single mother ndio aanze kuzurura makanisa ya "kiboko ya wachawi" kusema ana mikosi.
Nchimbi baba kanyaga twende tumechelewa Sana. Tunajivunia kuwa na Katibu mkuu mwenye hekima, mtulivu na mwenye maono. Zaidi ya yote ni Mwanadiplomasia mbobevu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.