Recent content by mkomanzila

  1. M

    Ajira za uhamiaji zapelekwa JKT

    na ww nenda uko utapata tu
  2. M

    Msaada, kuhusu JKT

    ila mda wowote anaweza kuhitajika c kwamba ndio imetoka anarudi ni kwavile mkataba umekwisha ila michakato ya kutaftiwa ajira upo palepale
  3. M

    Msaada, kuhusu JKT

    yap kk inawezekana kabisa labda uongezew mkataba
  4. M

    Ajira za uhamiaji zapelekwa JKT

    ndio ishakua kaka
  5. M

    Ajira za uhamiaji zapelekwa JKT

    ndugu una uhakika na ulichokiandika?tuliza jazba kaka
  6. M

    Maandamano kupinga ripoti ya tume ya Uhamiaji

    Hamjaajiliwa mnaandamana je wakiwaajir mtakuwa waadilifu kweli kuaandamana c suluhisho tafteni mbadala mtavunjwa viono mkose ata ajira taasisi nyingine za usalama
  7. M

    Maandamano kupinga ripoti ya tume ya Uhamiaji

    Hamjaajiliwa mnaandamana je wakiwaajir mtakuwa waadilifu kweli yani maandamano c suluhisho tafteni mbadala mtavunjwa viono mkose ata ajira taasisi nyingine za usalama
  8. M

    Ajira JWTZ kwa wahitimu kidato cha nne ni lini?

    dogo acha ubishi kawaulize watakwambia na c kila anaenda gurd lazima awe na slaa wanaingia gurd kama kawaida
  9. M

    Ajira JWTZ kwa wahitimu kidato cha nne ni lini?

    ata ukiwa afsa jeshin utumwa na kulinda ni lazima kwa kila askar ukishindwa ayo hufai kuwa askar uku hakuna bata kama unavyofikiria
  10. M

    Ajira JWTZ kwa wahitimu kidato cha nne ni lini?

    kama ulidanganywa jeshi ni elimu imekula kwako uku ni kazi za kibeto tu elim kapuni dogo njoo uku mpak darasa la saba wapo iyo elim yako inatosha kabisa kukusaidia kufuata maelekezo
  11. M

    Ajira JWTZ kwa wahitimu elimu ya juu lini?

    Yap hop mleta mada na ndugu mnaolitaka jwt hali ndio kama iyo kama unaamua kwenda kwa dhat jkt hali halisi ndio iyo
  12. M

    Ajira JWTZ kwa wahitimu elimu ya juu lini?

    fight uje kiumeni kwanza jkt tulijenge thn jwt baadae ukishamaliza kulitumikia taifa. karibu sana kk tuilinde nchi yetu
Back
Top Bottom